Msomi hewa
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 768
- 1,067
.....Unaweza kupanga mataruma?Naomba kazi mkuu
.....Unaweza kupanga mataruma?Naomba kazi mkuu
...hebu tufungue macho mkuu
....inakuwaje hiyo nguvu
.....We ni msahaulifu kweliUmeelewa vibaya
Kwenye hii tred wapi nilipo andika unapata pesa kupitia maind?
....Inafanyaje Kazi?
Yaani unahisi unachotaka kupata halafu unafurahia are you normal?( You want somethin' go for it )
Kwanini iwe ni kwa baadhi ya watu na sio watu wote waifahamu hiyo nguvu?
Mwisho acheni kuishi kwa matamanio, Marekani haikujengwa kwa matamanio, People sweat for it!
Alafu kuna mtu hapa ananiambia bangi ni nzuri, hebu subiri nimuonyeshe hili bandiko.
FANYENI KAZI.
HahahaUsinijaribu
Sitaki kukudhalilisha au kusema unaongopa ila nikuulize kitu kimoja: hivi unajua kuna aina ya ugonjwa wa akili unaofanya mtu anajiona kama ana uwezo kama unavyosema lakini kihalisia hana uwezo wowote? Unaweza ku support madai yako na mifano hai? Kuna watu wengi wamedai wana uwezo kama wako lakini walipofanyiwa test na wataalam ikagundulika kuwa hawana. Unaweza kuona kabisa kuwa Mr X alipoongea maneno fulani wewe ulikuwa ''umeshajua'' atakachoongea kumbe kiukweli ni akili zako tu zimekufanya uone hivyokwanza kabisa naomba nitoe pongezi zangu za dhati kwako Mshana Jr kwa ku-share hizi nondo zinazohusiana na supernatural powers bila kuwa-ds respect akina Kiranga rakims nk...solute's
Mm ni-mmoja kati ya watu ambao tumejaaliwa kuwa na supernatural powers nafanya mediation pia nimejaaliwa kuweza kuwa na Powers of mind ile nguvu ya ndani ku- wish baadhi ya malengo yangu na kuwa na furaha yani ndani nakuona kama nimeyatimiza am be honesty.
Nimekua nikijaribu kucontro vitu mbalimbali kupitia maind yangu ninauwezo wa kutabili jambo kabla halija tokea japo so kwa 89% naweza kumsoma mtu kabla hajaongea chochote, ninauwezo mkubwa wa kusoma tabia za watu wangu wa karibu
Pia naweza kusoma macho ya MTU nikisha angali macho yako naweza kujua unachoongea ni cha kweli au so kweli .
Bado sijawa mwalimu mzuri wa haya mambo naendelea kuyafatilia kwa ukaribu
....."It worked for me na hata matajiri wengi duniani" Really!!???, Unayosema yangekuwa kweli kusingekuwa na masikini duniani!,kama kuna kitu hujui unatakiwa ujifunze sio kusema mbona hakijulikani unaweza kugoogle kujifunza zaidi sio kubisha kila kitu kuna nguvu kubwa kwenye subconsious mind nguvu inayoweza kufanya kila kitu it works for me na hata matajiri wengi duniani
....Amnesia at it's best!tatizo umeenza na shutuma za bangi lazima uchangaye mafaili.
Sipingani sana na hoja yako bali kuna tatizo LA kutoelewanaSitaki kukudhalilisha au kusema unaongopa ila nikuulize kitu kimoja: hivi unajua kuna aina ya ugonjwa wa akili unaofanya mtu anajiona kama ana uwezo kama unavyosema lakini kihalisia hana uwezo wowote? Unaweza ku support madai yako na mifano hai? Kuna watu wengi wamedai wana uwezo kama wako lakini walipofanyiwa test na wataalam ikagundulika kuwa hawana. Unaweza kuona kabisa kuwa Mr X alipoongea maneno fulani wewe ulikuwa ''umeshajua'' atakachoongea kumbe kiukweli ni akili zako tu zimekufanya uone hivyo
Panadol SitamolUmeelewa vibaya
Kwenye hii tred wapi nilipo andika unapata pesa kupitia maind?