TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,423
- 8,653
kwanza kabisa naomba nitoe pongezi zangu za dhati kwako Mshana Jr kwa ku-share hizi nondo zinazohusiana na supernatural powers bila kuwa-ds respect akina Kiranga rakims nk...solute's
Mm ni-mmoja kati ya watu ambao tumejaaliwa kuwa na supernatural powers nafanya mediation pia nimejaaliwa kuweza kuwa na Powers of mind ile nguvu ya ndani ku- wish baadhi ya malengo yangu na kuwa na furaha yani ndani nakuona kama nimeyatimiza am be honesty.
Nimekua nikijaribu kucontro vitu mbalimbali kupitia maind yangu ninauwezo wa kutabili jambo kabla halija tokea japo so kwa 89% naweza kumsoma mtu kabla hajaongea chochote, ninauwezo mkubwa wa kusoma tabia za watu wangu wa karibu
Pia naweza kusoma macho ya MTU nikisha angali macho yako naweza kujua unachoongea ni cha kweli au so kweli .
Bado sijawa mwalimu mzuri wa haya mambo naendelea kuyafatilia kwa ukaribu
Mm ni-mmoja kati ya watu ambao tumejaaliwa kuwa na supernatural powers nafanya mediation pia nimejaaliwa kuweza kuwa na Powers of mind ile nguvu ya ndani ku- wish baadhi ya malengo yangu na kuwa na furaha yani ndani nakuona kama nimeyatimiza am be honesty.
Nimekua nikijaribu kucontro vitu mbalimbali kupitia maind yangu ninauwezo wa kutabili jambo kabla halija tokea japo so kwa 89% naweza kumsoma mtu kabla hajaongea chochote, ninauwezo mkubwa wa kusoma tabia za watu wangu wa karibu
Pia naweza kusoma macho ya MTU nikisha angali macho yako naweza kujua unachoongea ni cha kweli au so kweli .
Bado sijawa mwalimu mzuri wa haya mambo naendelea kuyafatilia kwa ukaribu