bruno twemanye
JF-Expert Member
- May 18, 2015
- 801
- 387
VIP kuhusu medical school maana wanye dploma za utabibu walikuwa wepesi zaid kumudu masomo na walisaidia zaid kuelekeza wenzao wanapokuwa clinical area, leo 3.5 wanahesabika wengi wahoo 3.3-3.0 Unawatupa nn unalengaa na ukijua medical doctor baado ni pengo kubwa,, tunamakusudii zahili ya kuongeza wataalamu au tunakomoa wananchii??NOTE.. WENYE GPA NDOGO WATASOMA DEGREE KUPITIA NACTE COLLAGUES KAMA DAR TECH,MBEYA TECH,OPEN UNIVERSITY ETC