Ngalikivembu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,959
- 872
TCU ilikuwa imekwisha weka majina ya waliochaguliwa vyuoni pamoja na waliopata mkopo na waliokosa mkopo.Lakini ghafla majina hayo ymeondolewa pasipo kuelezwa chochote. Awali tuliokuwa tunaangalia majina hayo tulikuwa tunapata tabu sana kufungua kwani mtandao wao ulikuwa haufunguki na kwa wale waliofanikiwa kuona walichukua muda mrefu sana kufungua. Vipi tuamini walikosea kuweka majina hayo kabla hayajakamilika? Tuwe na hisia za uchakachuaji?