TCU yaidhalilisha UDSM...

Product za ud sio ndio zimefanya nchii hii kuwa nyuma kwa kila kitu kuanzia elimu,uchumi,siasa utamaduni,michezo na maeneo mengine mengi tu.Product za ud hasa hao wanasheria sii ndio wanaliingiza taifa katika mikataba mibovu,hao product wa ud sio ndio wameshindwa hata kuboresha elimu.Yaani wana elimu ya makaratasi tu lakini ubora wa elimu yao katika maendeleo ya taifa hili ni ya kusikitisha.

Bora sasa vyuo vimeoongezeka na ile tabia yao ya kula hela za application sh 30000 kwa kila mwanafunzi sasa zimefika mwisho.Utaratibu wa kulipia application kwa vyuo vyote kupitia TCU bila shaka umewaweka pabaya na umesaidia kupunguza gharama kwa wanafunzi hasa kutoka familia maskini.

Miaka 50 ya uhuru product za ud zimeshindwa kuongeza vyuo vya umma na kubaki na vyuo vya kuhesabu.Tunashukuru mashirika ya kidini,taasisi na watu binafsi kuongeza vyuo vikuu.

Product za ud si ndio vinara wa ufisadi na sio ndio maana taifa letu liko nyuma kwa kila kitu.Poduct za ud si ndio zimeshindwa kutumia maliasili za taifa kugharamia elimu ya juu na badala yake wanafunzi kunyanyasika na mikopo ya bodi wakati wao walisoma bure.

Nimeipenda sana hii post yako maana tusiongelee wanaoingia ila tuongelee wanaotoka wamelifnyia nini taifa mpaka tuseme ud inaongoza ktk ukanda wa afrika mashariki?
 
Labda niwaulize wanajamvi kuwa nini UDSM imeleta mapinduzi gani ktk maendeleo ya nchi hii! Kwanini nchi yetu bado ni maskini,kwanini dk anafikiria division one,kwanini mtu anayejiita dokta akawa hana uwezo wa kumfundisha mtu aliyepata division two.Hata wanaojiita wasomi wanahitaji kuelimika
Spendi madokta wanaodiscuss division one au two badala ya kudiscuss ideas,
We need mental liberation
 
Labda niwaulize wanajamvi kuwa nini UDSM imeleta mapinduzi gani ktk maendeleo ya nchi hii! Kwanini nchi yetu bado ni maskini,kwanini dk anafikiria division one,kwanini mtu anayejiita dokta akawa hana uwezo wa kumfundisha mtu aliyepata division two.Hata wanaojiita wasomi wanahitaji kuelimika
Spendi madokta wanaodiscuss division one au two badala ya kudiscuss ideas,
We need mental liberation
you can not compare UDSM na vyuo vya kata.lazima tukubali kuwa kuna vichwa na vilaza.kamwe tusikubali vilaza kuchukua nafasi za vipanga.
 
Msaada Wakuu,
hivi vyuo vya kata wamejenga lini? Kwani kata yetu hatuna chuo,hongera wewe ambaye kata yako kuna "chuo cha kata"kwani mmeendelea sana.
 
Ulipata four ndo maana una hasira ud ni kwel wanachukuaga one tupu
pumbavu pumbavu alieandika habari hii, mimi niko hapa udsm mwaka wa nne, na sikubaliani hata kidogo na huyo alieandika upuuzi hapo juu. chuo ni chuo, tunayosoma udsm na sua, na sauti na st.joseph, na udom , mazumbe ni hayo hayo. wakufunzi ni hao hao. niwaambie jambo moja ukishaanza kubagua wenzio, basi ubaguzi utakuja mpaka ndani kwenu. udsm hapa ndani ya chuo kuna ubaguzi ulikithiri, prof anajiona prof, docka hivo ivo, tutor ivovo. na si wanafunzi muda mwingi tunawakosoa walimu hapa kwamba hawajui kufundisha, hawajui vitu, wao ni theory tu.
Kwa mjadala wa kuTOKUchukua division 2, kwa kozi ya kijinga na ngwini kama sheria, sio sahihi , kama Coeti maenginia wanachukua mpaka div 3, kwa masoma ya hesabu ngumungumu, ndo ije sheria , sijui ,act, tax law, businesi law. ni vitu hata aliepata div o anaweza mudu. UBAGUZI MI SIPENDI, KILA SIKU NAWAAMBIA WANA UDSM WASIJIONE WAO NDO BORA MAANA HAMNA LOLOTE. ANGALIA RATE YA EMPLOYMENT IFM ,NA SAUTI ZIKO JUU. SHENZI KABISA WE MBWA UNAEFUNDISHWA NA KABUDI, MAJAMBA, KIFIMBO,SHAO,DR TULIA, .HAPA UDSM HAO WATU WASHERIA WANAJIDAI SANA, WANARINGA, WANAJIONA NI WA KIPEKEE. KWA HIYO MSIMSHANGAE HUYO NI TABIA ZAO HAO NA WALIMU WAO. WAJINGA TU NYIE SHERIA.
KWANZA NIWAPE SIRI HAPA UDSM HAO SHERIA WANAJENGO MOJA, MADARASA WANATUMIA YA WATU, HAWANA HATA COLLAGE, KAZI KUIBIA MADARASA YA SKUL NYINGINE, SHERIA HAMNA MAKAZI HAPA UDS ZAIDI YA HICHO KIGOROFA CHA OFISI SHENZI WE. NIMEKUJA UDSM KABLA YAKO MBWA WE
 
Katika kile kinachoonekana kama udhalilishaji wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (hasa Kitivo cha Sheria),Mamlaka ya Vyuo Vikuu Nchini almaarufu kama TCU imewapanga wanafunzi wenye Daraja la pili kusomea Sheria Chuoni hapo. Nyaraka nilizonazo zinaonesha kuwa wapo wanafunzi wenye Daraja la pili la alama 10 waliochaguliwa chuoni hapo.

'Huu ni udhalilishaji. We ought to have a Cream of the Nation,as we always do' alisema mmoja wa Waadhiri Waandamizi chuoni hapo. 'Tutaona namna ya kubaki na tuwatakao darasani,wacha waje' aliongeza Mhadhiri huyo.

Ifahamike kuwa UDSM ilikuwa ikiishia Daraja la kwanza la alama 8 la Kidato cha sita. Kitivo cha Sheria cha UDSM ndicho cha kwanza katika ukanda wa Afrika ya Mashariki na kimekuwa na wivu wa kutunza heshima yake kwa kuchagua wanafunzi wenye ufaulu wa juu sana. TCU,ambapo yumo Mkuu wa Kitivo hicho zamani Prof.Sifuni Ernest Mchome,imefanya kusudi? Hapa si kuwatafutia matatizo wanafunzi kwakuwa wengi 'wataliwa vichwa'? Yangu macho na masikio...
ivi kazi ya mwalimu ninini?? ivi kweli prof anaweza toa maneno mabovu kama haya! eti anataka cream then na hao wengine waende wap?
kwanza ni lazima niwapongeze tcu kwa kufanya walichofanya..lazima wapate haki sawa wote,sasa wanataka dv1 tu je na hao wengine waende wao? kwan wao hawataki kusoma sheria hapo ud?
KAZI YA MWALIMU NI KUFUNDISHA NA KUMWONDOLEA MTU UJINGA NA SIO KUCHAGUA WANAFUNZI WA KUFUNDISHA!
 
sina tabia ya kucomment sana hasa hili jukwaa lakini imenibidi.. Kwanza nawasiwasi ata kama unapajua udsm, chuo chetu hakina makapi kama wewe wa kutoa lugha ya namna hiyo kwenye mitandao kama hii.. Ata hiyo coet imekushinda kuandika, mwaka wa nne kwa corse yoyote udsm lazima atakua anajielewa na sio kama wdwe. Na mwisho kabisa acha udsm hiitwe udsm, uwezi kuilinganisha na vyuo vingine vya siku hizi kama kiu, saut, teku, jordan kama upo uko usijipe kabisa moyo
haa...mh embu nifafanulie hapo kwenye red!??
 
Katika kile kinachoonekana kama udhalilishaji wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (hasa Kitivo cha Sheria),Mamlaka ya Vyuo Vikuu Nchini almaarufu kama TCU imewapanga wanafunzi wenye Daraja la pili kusomea Sheria Chuoni hapo. Nyaraka nilizonazo zinaonesha kuwa wapo wanafunzi wenye Daraja la pili la alama 10 waliochaguliwa chuoni hapo.

'Huu ni udhalilishaji. We ought to have a Cream of the Nation,as we always do' alisema mmoja wa Waadhiri Waandamizi chuoni hapo. 'Tutaona namna ya kubaki na tuwatakao darasani,wacha waje' aliongeza Mhadhiri huyo.

Ifahamike kuwa UDSM ilikuwa ikiishia Daraja la kwanza la alama 8 la Kidato cha sita. Kitivo cha Sheria cha UDSM ndicho cha kwanza katika ukanda wa Afrika ya Mashariki na kimekuwa na wivu wa kutunza heshima yake kwa kuchagua wanafunzi wenye ufaulu wa juu sana. TCU,ambapo yumo Mkuu wa Kitivo hicho zamani Prof.Sifuni Ernest Mchome,imefanya kusudi? Hapa si kuwatafutia matatizo wanafunzi kwakuwa wengi 'wataliwa vichwa'? Yangu macho na masikio...
huyu mhadhiri ni mku******vu sana!! na hajui kazi yake..
 
vijana kasomeni tu..
Achaneni na hzo fikra mgando za mtoa mada na profesa wake..

Chuo kikuu ni fresh start.. Hatuangalii division. Wapo waliokuja na point 4.. Ila mashati yanavutwa kama kawa..

MSIOGOPE.
 
Hamna lolote roho zinawauma mlitaka graduates nchii hii muwe wachache ili muendeleze majivuno yenu.Hata vyama vya upinzani vilivyoanza hapa bongo wengi walividharau kwasababu walikariri ccm kama nyinyi mlivyokariri ud ila niambie leo ni wangapi wanaipenda baada ya upinzani kuwafumbua macho.

Hili ni swala muda tu na huenda mlitaka muwe wachache kwenye soko la ajira.

Ukiritimba wa ud unaelekea ukingoni miaka si mingi.

chukua 'LIKE' kamanda :)
 
Back
Top Bottom