TCU wanatoa lini majina ya second selection?

Vumilia tu ndio nchi yetu hii
 
Sasa vyuo vinavyotoa majina ya wanachuo wanayapata wap hayo. Majina mana profile ziko pending afu kila chuo kina Muda wake wakufungua, dar tunateseka
 
Kuwa mpolee wanatoa so muda kaka kwanza kama si kesho basi kesho kutwa au muntogooo
 
Daah, tupeane update ya vyuo ambavyo vimeshatoa, mkiona kcmc, hubert kairuki, archibishop iringa, campala na bugando mtushtue, watu Ata kula tunashindwa mana stress kila kukicha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…