Mpaka sasa iv cjaelewa mwanzo katka first round walivyofunga udahil, wakatoa tareh kabsa ya kuachia selection. Ambayo ilkua tareh 12, kinachokuja kunishangaza ni baada ya kufunga udahil kwa second round.
Yan hawakueka tareh ya kuachia imebakia kila mmoja anahis na kutabir.
Sasa kutokana na hilo kuna maswal yananijia kichwan kila mda.
Kua wametuzarau ss tuliomba vyuo kwa awam ya pil?
Ni wale ambao tulifaulu kwa baat mbaya kidato cha sita au
Au n mabak katka uchaguz wa vyuo?
Naona wakiweka matangazo tu ya scholarship, wakat tuliopo tz iyo Ada tu ya udsm kulipa ukikosa mkopo, ndio chuo kimeishia apo.
Jengne au wanapenda na kuona raha jins tunavyo wataja taja.
Hii hal imekuaje bhana mbona mnafanya tcu kama kituo cha kubet yan n mwendo wa kubahatika tu.
Au mnataka muachie majina cku kama ya leo alaf kesho turipot chuon without admission letter.
tcu fanyen kaz kwa uadilifu, kiufup mnatuboa.
Nyiny mtuangaishe na mkopo itakua iv iv maana naijua hii tz yang.
kama sio nchi inayojitawala yenyew