Amon Mtekateka
JF-Expert Member
- Jun 4, 2014
- 1,225
- 333
Mbona kuna watu wanavijit na wametemwa first batchEt mtu na division2 yako unatoa macho kuona ka utachaguliwa second slection au la!!!!
Mbona kuna watu wanavijit na wametemwa first batchEt mtu na division2 yako unatoa macho kuona ka utachaguliwa second slection au la!!!!
Yan pale tcu nataman atumbuliwe mmoja tu nadhan watakaa sawa na ndio itakua heshima kwa wengneNchi yetu kuna watu hawako makin bado, mpaka kuwajibishwa.
nimecheka vilaaza mnavyopeana moyokinachokuchekesha kip?
kumbe n ww mpumbav uchwaranimecheka vilaaza mnavyopeana moyo
ha ha hakumbe n ww mpumbav uchwara
Nani kakwambia,,hakuna afadhali wala nini!uzi ule ule provisionally selected kila sikuMungu atupiganie mana diploma holder hatujui chochote wenzetu degree washapangiwa
Tatizo liko hapo! Ulipoona una division 2 ukadhani kuwa unaweza kuchagua kozi yoyote kwenye chuo chochote!Et mtu na division2 yako unatoa macho kuona ka utachaguliwa second slection au la!!!!
Hv hz post za tumaini bado tu mkuu?Jaman zikitoka selection Za tumain University kcmc mtuambie
kinachokuchekesha kip?
True ila inaumaTatizo liko hapo! Ulipoona una division 2 ukadhani kuwa unaweza kuchagua kozi yoyote kwenye chuo chochote!
Kimsingi division 2 hakupaswa aangukie kwenye second round kama angekuwa makini kwenye first round!