TCU wanatoa lini majina ya second selection?

TCU wanatoa lini majina ya second selection?

nimecheka vilaaza mnavyopeana moyo
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Et mtu na division2 yako unatoa macho kuona ka utachaguliwa second slection au la!!!!
Tatizo liko hapo! Ulipoona una division 2 ukadhani kuwa unaweza kuchagua kozi yoyote kwenye chuo chochote!
Kimsingi division 2 hakupaswa aangukie kwenye second round kama angekuwa makini kwenye first round!
 
Tatizo liko hapo! Ulipoona una division 2 ukadhani kuwa unaweza kuchagua kozi yoyote kwenye chuo chochote!
Kimsingi division 2 hakupaswa aangukie kwenye second round kama angekuwa makini kwenye first round!
True ila inauma
 
Back
Top Bottom