TCU wameshafungua profile ingia uangalie

TCU wameshafungua profile ingia uangalie

Kuna technical error kila mtu anaonekana selected kwa 1st round na program zinazo display ni za mwanzo.
 
Ebu jaribu ku view rejection reason uone kama vyuo ulivyoomba round ya pili vinaonekana! Na unipe majibu mkuu, samahani lakini
Havionekani kwa sababu hujakataliwa,wanaonyesha first selection kwa sababu ndio ilikataliwa.Pia jaribu kuangaia view selection uone wanakuandikiaje?.
 
Me mbona niki view rejection reason zinakuja kozi nilizoomba round ya kwanza tu, za round ya pili haziji, why this?
Kuna tatzo katika system zetu na tunaitajo IT kutoka Rwanda
 
Ukasome acha uduanz,,,sis wakubwa zako tulipita uko nasasa tunawashaur sio ukakomalie mademu tu,,,acha hiyo mamb watakulamba boom lote awoo kijanaaaa
 
Hivi provisionally selected it means tusubiri au inakuwaje?,maana kuna chuo kimoja bado hakijatoa sec.select.
 
Back
Top Bottom