Eugenia Games Station
Senior Member
- Mar 13, 2016
- 145
- 150
NimekusomaaaUsipende kuweka namba za simu humu malema
NimekusomaaaUsipende kuweka namba za simu humu malema
mkuu kama udom naomba namba zao plzBaada ya takriban masaa 10 kuwapigia sua bila majibu hatimae muda mchache uliopita nimetoka kuongea nao nikawaaeleza kila kitu amina mungu ametenda miujiza wameniambia kuwa tayari nimesha comfirm so nisubir muda watatoa majina
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana kaka nina za SUA tu aseemkuu kama udom naomba namba zao plz
Kweli?Deadline wameongeza mpaka tar 6
Ingia kwenye web ya TCU mkuu ili uridhike vizuriKweli?
Tarehe 6 ya Leo auDeadline wameongeza mpaka tar 6
Ndio mkuu Leo ndio mwishoTarehe 6 ya Leo au
Mwisho leo na janga bado ni lile lile tupo wengi sana nilidhani nipo peke yangu ambaye sijatumiwa codesNdio mkuu Leo ndio mwisho
Mm Leo nimeingia kwenye account yangu saut wame confirmHUKO NI KUGOMBANIANA WANAFUNZI, MFANO KUNA DOGO KACHAGULIWA UDSM na UOI sasa UOI wamempigia simu kuwa wanataka wamtumie code a-confirm
Ulitumiwa codes lini mkuuMm Leo nimeingia kwenye account yangu saut wame confirm
Hawapokei simu TCU maana japo ipo busy muda wote. Sasa hata ukifanikiwa ikianza kuita itaita mpaka inakata no response. Poor customer carena sisi ambao hatujapata chuo untill now tupige no. zipi ?
Hizo code siyo specific we muombe mtu yoyote aliyetumiwa code u confirmMwisho leo na janga bado ni lile lile tupo wengi sana nilidhani nipo peke yangu ambaye sijatumiwa codes