justinemagesa
Member
- Sep 2, 2018
- 23
- 3
Bwana mdogo katumiwa na wenzake ndio anajipa mahope bado yuko safeHii msg imeandikwa kihuni huni kama ya TatuMzuka imetumwa kutoka namba gani tuanze kuwachana makavu live
TCU wamenifanya nisiwemo kwenye first batch ya SUA ***** wametoa leo roho imeniuma kichiz
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni mfano dhahiri wa kinacho endelea-TCU na Vyuo mawasiliano yamekatika. Ilambona anapata code kutoka TCU wakati SUA ambako alitaka ku-confirm wametotoa batch ya kwanza. Yaani coordination kati ya kichwa na viungo imekata.
Daaa roho imeniuma sana kaka yani code napata saa sita usiku kesho mm nitawapigia SUAHuu ni mfano dhahiri wa kinacho endelea-TCU na Vyuo mawasiliano yamekatika. Ilambona anapata code kutoka TCU wakati SUA ambako alitaka ku-confirm wametotoa batch ya kwanza. Yaani coordination kati ya kichwa na viungo imekata.
Je wanataka kusema mkuu huyu lazima aombe tena?
Afu nikiingiza hio code inakataa na kusema kua Applicant not found in multiple admission hali kua jina langu limetokea SUA na Mipango dodoma duuu kweli BONGO NYOSOHuu ni mfano dhahiri wa kinacho endelea-TCU na Vyuo mawasiliano yamekatika. Ilambona anapata code kutoka TCU wakati SUA ambako alitaka ku-confirm wametotoa batch ya kwanza. Yaani coordination kati ya kichwa na viungo imekata.
Je wanataka kusema mkuu huyu lazima aombe tena?
Oyaa nmetumiwa code ilaa nmeingizaaa vizurii kwny system ilaaa nmekosea kubonyez rejected imeendaa mm nitafanyaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Chuo gan iko kaka maana sua wao mm naona inafunguka tu ilo neno hata silioniNmekutaa you have confirmed
ArdhiChuo gan iko kaka maana sua wao mm naona inafunguka tu ilo neno hata silioni
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok ngoja nisubir wa sua mwenzangu japo najua pale tayar labda wao hawaleti hayo manenoArdhi