TCU vipi Diploma Guidebook?

kama ni hivyo hayakuwa yanakuhusu haya mpendwa vipi kushadadiiia??
Naona dada angu uwelewa mdogo! Nisawa na kuona wenzako wakiumia alafu wewe ukawa unashabikia kwa unafiki! Sasa ili kukufurahisha tukwambie upo sahihi ukisemacho wewe lkn ungekuwa unabusara na hekima ungejua namna ya kumsaidia mwenzako kimawazo kuhusiana na tatizo alilo nalo sidhani kama jamaa alipost ilikukufurahisha bali lengo lake kubwa ilikua ni kuhitaji msaada ki mawazo, wewe pasipo kujua hilo ndo maana ulilopoka vile! USAMEHEWE BURE my dear.
 


ha ha ha!pole sana....siku nyingine jifunze tu kuacha yasiyokuhusu yapite, Embu ona sasa OMO tu inakutoka
 
Nazungumzia HAKI yao ya kurudishiwa fedha Walizotumia kuomba mkopo na udahili kupitia HESLB na NACTE respectively kabla ya TAMKO la TCU la tarehe 11/7/16
Kurudishiwa Hela Ya NACTE ni sawa Coz Hii ni NON-REFUNDABLE pale tu itakapokwendana na TERMS husika Za NACTE ambazo moja wapo ni GPA ya = or > 2.7, lakini ikumbukwe Kwamba NACTE wenyewe ndiyo walio violet terms zao hususan hii ya GPA kwa Kueka iwe = or > 3.5 .
Sasa kwahili NACTE wamekiuka Masharti dhidi ya wateja wao! kwahiyo Sheria ya Nonrefundable itakuwa automaticaly haifanyi kazi tena.

Ila Kuhusu la HESLB, hapa alieaply Mkopo na Huku akijijua au Hajijui Kuwa Anavyo Vigezo Stahiki, Basi Huyu Hapaswi Kurudishiwa Hela Yake.
Kwani Kubla ya Kufunguwa Milango ya Kupokea Maombi, walitanguliza GuideBook na Kusema Kuwa Yeyote Ambaye Hatafikia kiwango cha = or > DD au = or > 3.5 GPA mtu huyo Asiombe Mkopo.
Sasa Hapa Aliyeomba atakumbwa na sheria ya Nonrefundable na wala HESLB hawahusiki.
 
Nafikiri kwa hiyo diploma nenda nacte
 
M
Mkuu iko hivi

Mwezi wa tano Nacte walifungua fursa ya udahili na vigezo vilikuwa ni GPA 2.7+ watu wakalipa zile fedha na kuapply.

Then mwezi wa Sita mwishoni HESLB nao wakafungua fursa ya kuomba mkopo na wale waliolipa ile ya nactr pia wakalipia na hii ya heslb kwa vigezo vile vile vya nacte (heslb hawaweki viwango vya ufaulu wao ilimradi upate chuo watakuangalia maswala ya mkopo).

Ilipofika July 11, TCU wakabadili vigezo vya ufaulu. Otomatikale wale below 3.5 GPA hawatapata vyuo hivyo hawatapata mkopo.

Hivyo naona ingekuwa vyema wangerudishiwa fedha yao.
 
Acha kutumia maneno makali kwa "member"

Amini nakuambieni, hiyo kauli yako, nakunukuu "member" mwisho wa kunukuu, INAVUNJA UMOJA WA KITAIFA na MTANGAMANO hapa jukwaani.
Natamani wewe na rubii muombe radhi kwa kweli.
 
Subiri mkuu nimekaa macho hadi saa hii leo ni tarehe 1/8/16 lakini bado hola TCU..
 
Subiri mkuu nimekaa macho hadi saa hii leo ni tarehe 1/8/16 lakini bado hola TCU..

Nakumbuka kuna mtu alikuambia siku bado haijaisha, sasa Sijui inakuaje now. TCU wanapaswa kuwa smart kuliko hivi wanavyotuaminisha.
 
Hii hali ya tcu.go.tz na cas.tcu.go.tz ilitakiwa iwe ijumaa iliyopita lakini ndo hivyo tena loh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…