TCU na wizard ya elimu siwaelewi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii vawulensiii kwa OP, muhurumieni bas.
 
Yaan hadi anachekeshaa kuwa kweliii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaanii pharmacy haruhusiwii hata kumwekeaa mgonjwa hata dripu la majii halafuu eti akasome MD uhuruu umezidii
 
Kwa case ya engineering na afya ni tofauti, hoja yangu imekuja kwa sababu ya basics za afya
 
Umeona mimi nimelalamika wewe matter core?
 
Hujaelewa wapi?, umeona mimi nimeshangaa au umemeza ARVs mapema?
Kuwa hasira hizii, MD utaisikia kwa wenzio tyuuh.
Poleeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii vawulensiii kwa OP, muhurumieni bas.
Kuna wajinga wanatafuta huruma kwenye majukwaa.

Mtu kapata division three ya 13 form six, akaamua adumbukie diploma, hizo guidelines hakuziona?

Labda hakufika advance, kala four au three , akaamua asome njia ndefu, uchaguzi alifanya mwenyewe, hatukuwepo sisi kumuamulia then anaanza kufokafoka anadhani sisi ni kama yeye?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zinauma kwa kuchekaa.
 
Yani mtu kaleta hoja, watu wamekuja na mipasho tu [emoji706]
 
Daa! Naumia sana kuona watu bado wanahangaika na elimu ya kuanza darasa la kwanza had 7 sijui 4m 1 had 4 sijui vyuo vya kati sijui 4m 5 had 6 et chuo kikuu saiz pambania mtoto ajue kusoma na kuandika kiswahili ajue kusoma, kuandika na kuongea kingereza, ajue hesabu za kujumlisha, kutoa, kugawanya na kuzidisha ovaaaaa hayo mengine saiz ni upuuzi tuuuu tubadilikeee tukomboe wanajiita wasomi wapate wateja mtoto simtesi na ma integration au differeciation sijui motion sijui mirror reflection angle upumbavu huu niliingia coz nilikuwa sijui kinachoendelea saiz naelewa
Waliosoma diploma ya maabara, au Pharmacy hawaruhusiwi kusoma MD, Kwa wakati huo huo aliyemaliza kidato cha sita anaruhusiwa hivi nini hoja yao kuhusu hili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…