TCU jina lipo, Chuon Halioni

Mwl Mkwaya

Member
May 20, 2011
68
7
WanaJF dogo langu, amekuwa selected na TCU cbe dar, lakin katika majina yaliotoka CBE chuon halioni jina lake....nn mshauri nn???
 
WanaJF dogo langu, amekuwa selected na TCU cbe dar, lakin katika majina yaliotoka CBE chuon halioni jina lake....nn mshauri nn???

ASEE ni inbox number zake kuna mtu kachaguliwa huko nataka wajuane wapange pange mambo c unajua tena
 
Duh kilio cha wengi...? Mi pia nimechaguliwa CBE dar bt jna langu halipo kwenye website yao. Ila najpa moyo coz 2po weng.
 
Duh kilio cha wengi...? Mi pia nimechaguliwa CBE dar bt jna langu halipo kwenye website yao. Ila najpa moyo coz 2po weng.

Wewe jipe moyo pasipokufuatilia kule tcu halafu habar yako utaiona me ni mmojawapo nimeenda chuoni wakaniambia jina langu halijafika kule nikarudi tcu nikawaeleza wakacheki kwenye yale majina yaliyorudishwa na chuo pia simo kuona ivyo wakaniambia et nifanye 2rd application nikawagomea ndo wameniambia nisubirie kwaiyo hapa kuna hatari ya kuchinjiwa baharin
 
Jamani tcu sijui vp mimi nimechaguliwa mzumbe lakini kwenye list ya mzumbe simo sasa hapa nilipo sijui nifanye nini
 
WanaJF dogo langu, amekuwa selected na TCU cbe dar, lakin katika majina yaliotoka CBE chuon halioni jina lake....nn mshauri nn???

dats ni problem ndogo mi nimeenda tcu leo wamesema kesho c ndo mwisho wa kuuapply second round xo ni baadhi ya majina ndo yaliyopelekwa vyuoni xo kesho wakishafunga ile deadline ndo wataupdate majina yaliyobaki pamoja na yale ya second round ndo watapeleka vyuo vyote na majina yata be printed out by tcu xo kitu ka ijumaa hv yatakuwa on hewa xo be ready guys wish ol of u luck gatchaaaa!!!!
 
Xo u mean kwamba hata ucpofuatilia wata update 2 au kuna haja ya kufuatilia..!
 
Wewe jipe moyo pasipokufuatilia kule tcu halafu habar yako utaiona me ni mmojawapo nimeenda chuoni wakaniambia jina langu halijafika kule nikarudi tcu nikawaeleza wakacheki kwenye yale majina yaliyorudishwa na chuo pia simo kuona ivyo wakaniambia et nifanye 2rd application nikawagomea ndo wameniambia nisubirie kwaiyo hapa kuna hatari ya kuchinjiwa baharin

Duh! Dogo yupo zenji hivyo fasta aje kufuatilia....tnx Man!
 
dats ni problem ndogo mi nimeenda tcu leo wamesema kesho c ndo mwisho wa kuuapply second round xo ni baadhi ya majina ndo yaliyopelekwa vyuoni xo kesho wakishafunga ile deadline ndo wataupdate majina yaliyobaki pamoja na yale ya second round ndo watapeleka vyuo vyote na majina yata be printed out by tcu xo kitu ka ijumaa hv yatakuwa on hewa xo be ready guys wish ol of u luck gatchaaaa!!!!

dah kaka ngoja 2wait, nashukuru sana nimepata ahueni kdg.
 
Ushauri wenu wadau! Mke wangu amepata vyuo viwili. Amepata MUM kwa kozi ya Education kupitia usaili wa MUM na si CAS ya TCU. Na kwenye usaili wa TCU pia amepata nafasi lakini tofauti na kozi aliyoipata. Na pia jina lake limetoka late sana na matokeo ya jumla ya TCU. Je, kwa mkanganyiko huu kuna uwezekano wa kupewa mkopo na bodi ya Mikopo?
 
Ushauri wenu wadau! Mke wangu amepata vyuo viwili. Amepata MUM kwa kozi ya Education kupitia usaili wa MUM na si CAS ya TCU. Na kwenye usaili wa TCU pia amepata nafasi lakini tofauti na kozi aliyoipata. Na pia jina lake limetoka late sana na matokeo ya jumla ya TCU. Je, kwa mkanganyiko huu kuna uwezekano wa kupewa mkopo na bodi ya Mikopo?

Hapo labda asikilizie admission namba yake itatokea kwa chuo kipi
 
Back
Top Bottom