- Thread starter
- #21
Pole mkuuu....
Mfumo wa CAS ni rahisi ukijua mambo fulani. Kwanza internet ni lazima iwe ya kasi, not modem!!! Natumia broadband internet ya TTCL iko faster, nimesaidia watu kibao, vijana wetu!!! Pia tumia browse ya Google Chrome, kazi ya TCU utamaliza kwa glass ya juisi ukitabasamu....
Hao vinguruwe hapo ofisini TCU nakuomba uende tena, vaa kivingine, ukiwakuta, tegesha simu uwapige picha!!!! Ili tuzianike hapa jamvini.... Ofisi za Umma ni mali ya wananchi!!!!
Sina tatizo na internet, nina internet masaa 24 na iko fasta, ni tatizo la system yao.