TCU hili halijakaa sawa kabisa, siamini kuwa hamulioni!

TheDealer

JF-Expert Member
Nov 19, 2012
2,424
1,129
Duniani na mbinguni hili linaeleweka kabisa bila mawaa! Kamwe masomo ya sayansi hayajawahi kuwa na uzito sawa na masomo ya arts!

Kwamba kidume aliyetusua Physics - D, Chemistry - D, Advanced Mathematics - D ni sawa na sharobaro aliyetusua History - D, Kiswahili - D, Language - D

Halafu wote wakawekwa kwenye mizani sawa ya pointi 4!

-----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Yaelekea nyie watu wa TCU mmesoma Arts kwa hiyo hamjui muziki wa science!

Na ndio maana hata courses za afya mfano Medical Degree haina classification sijui upper second, sijui lower second, nk! Au hata ukija kwenye mitihani ya bodi ya uhasibu NBAA mtu anatafuta CPA miaka sio ajabu hata 6!
 
we nae una akil kabisa kwan kila mtu c anasoma kitu ambacho anakiweza yeye umesoma sayansii umependa ujalazimishwa


[Qnawe UOTE="TheDealer, post: 16942684, member: 110303"]Duniani na mbinguni hili linaeleweka kabisa bila mawaa! Kamwe masomo ya sayansi hayajawahi kuwa na uzito sawa na masomo ya arts!

Kwamba kidume aliyetusua Physics - D, Chemistry - D, Advanced Mathematics - D ni sawa na sharobaro aliyetusua History - D, Kiswahili - D, Language - D

Halafu wote wakawekwa kwenye mizani sawa ya pointi 4!

-----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Yaelekea nyie watu wa TCU mmesoma Arts kwa hiyo hamjui muziki wa science!

Na ndio maana hata courses za afya mfano Medical Degree haina classification sijui upper second, sijui lower second, nk! Au hata ukija kwenye mitihani ya bodi ya uhasibu NBAA mtu anatafuta CPA miaka sio ajabu hata 6![/QUOTE]
awe
 
Duniani na mbinguni hili linaeleweka kabisa bila mawaa! Kamwe masomo ya sayansi hayajawahi kuwa na uzito sawa na masomo ya arts!

Kwamba kidume aliyetusua Physics - D, Chemistry - D, Advanced Mathematics - D ni sawa na sharobaro aliyetusua History - D, Kiswahili - D, Language - D

Halafu wote wakawekwa kwenye mizani sawa ya pointi 4!

-----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Yaelekea nyie watu wa TCU mmesoma Arts kwa hiyo hamjui muziki wa science!

Na ndio maana hata courses za afya mfano Medical Degree haina classification sijui upper second, sijui lower second, nk! Au hata ukija kwenye mitihani ya bodi ya uhasibu NBAA mtu anatafuta CPA miaka sio ajabu hata 6!
sasa wewe unatakaje kwan kuna aliyekulazimisha kusoma science.
Nyote c wanafunz au
Maswala mengine ya ajabu kwel
 
we nae una akil kabisa kwan kila mtu c anasoma kitu ambacho anakiweza yeye umesoma sayansii umependa ujalazimishwa


[Qnawe UOTE="TheDealer, post: 16942684, member: 110303"]Duniani na mbinguni hili linaeleweka kabisa bila mawaa! Kamwe masomo ya sayansi hayajawahi kuwa na uzito sawa na masomo ya arts!

Kwamba kidume aliyetusua Physics - D, Chemistry - D, Advanced Mathematics - D ni sawa na sharobaro aliyetusua History - D, Kiswahili - D, Language - D

Halafu wote wakawekwa kwenye mizani sawa ya pointi 4!

-----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Yaelekea nyie watu wa TCU mmesoma Arts kwa hiyo hamjui muziki wa science!

Na ndio maana hata courses za afya mfano Medical Degree haina classification sijui upper second, sijui lower second, nk! Au hata ukija kwenye mitihani ya bodi ya uhasibu NBAA mtu anatafuta CPA miaka sio ajabu hata 6!
awe[/QUOTE]
Arts products!
 
We huwezi kuelewa kama hujasoma pure science...sawa?
dah.. bdo uko nyuma sana mkuu.. vip kusingekua n arts .. ungepiga kelele ama.. tatizo ni kulingana na artc ama upana wa madaraja.... acha kupigania upendleo kw madhaifu y kwengne
 
We huwezi kuelewa kama hujasoma pure science...sawa?
Kwani ulienda kusoma science ili upate upendeleo kuliko arts..
Au una future nayo? Wanascience wabongo ni wanywa viroba na uchwara. Wakiongozwa na ww
Badala ya kusoma kwa bidii unategemea kupendelewa!!!!
 
Nchi hii dira yake kama vile haieleweki, ukiangalia hata chuo kama UDOM 90% ya wanafunzi wanasoma arts sasa sijui wanaenda kuzalisha nini au ndio huko kujaza wasomi wasio kuwa na dira wachuuzi na wezi.
Nashauri pia kwenye diploma za ufundi na uuguzi angalau waanzie GPA ya 3.0
 
Huyu nae....kwahiyo hata division huwa zinatofatiana?....mbona hamjawahi lalamika??....kuna aliyekulazimisha ukasome sayansi,....kubali huna sifa...tafuta njia nyingne...acha wenye akili waende chuo....unataka uhurumiwe we ni nani?
 
Napenda watu jinsi wanavyomwaga hisia zao bila data eti masomo ya sayansi ni magumu kuliko ya arts bila data (empirical analysis). Hebu angalia kwa mfano wanaotusua form six (1.3 -1.6 kwa mfano) hata wale wa TO wengi ni wa sayansi au arts?. Na hiyo haitoshi tulinganishe kisayansi na NECTA wangetufanyia hili tungejua ukweli. Kitu kinachochanganya ni pamoja na wanafunzi wa arts kuwa wengi (kwa sababu ya ufinyu wa nafasi za sayansi + inawezekana wanaopendelea arts ni wengi). Mungu ametuumba na kutupa vichwa tofauti hivyo kila mtu anenda kule anako taka na mara nyingi ni kule alikoweza.
 
Hamna mteremko hapa ....mkopo tunakupa priority mnataka mtumalizie hela zetu za walipa kodi kwa grade mnazotaka nyinyi si mtajazana mavyuoni...
 
Nchi hii dira yake kama vile haieleweki, ukiangalia hata chuo kama UDOM 90% ya wanafunzi wanasoma arts sasa sijui wanaenda kuzalisha nini au ndio huko kujaza wasomi wasio kuwa na dira wachuuzi na wezi.
Nashauri pia kwenye diploma za ufundi na uuguzi angalau waanzie GPA ya 3.0
Kumbe ni wale wale tu mwaka huu mtakoma.
Subirin mpaka JPM atoke madarakan ndio mkapge degree.
Kama msuli wa sayans mgumu mbona kuna watu wana GPA nzur na huku cha six kuna vijit kibao sasa kama wewe kwel mwanasayans kwanin usipate kama wenzako.
Tatzo ni mapuuzo ya masomo mwisho wa cku mnajuta
 
Yaani dah hivi wewe unadhani nani aliyekulazimisha kusoma PCM MTU unachagua combination rahisi kwa hiyo MTU anayechagua PCM kaona ndo rahisi, HGK kaona rahisi. wote ni sawa
 
jamaa ana point ndomana hata mishahara huwa tofauti kwa kuanza tu mtu anayesoma hgl au hkl ana mitihani nane na aliesoma pcb au cba ana mitihani 11. hawa watu wawili tofauti sana kama umesoma science uwe ulifeli au ulifaulu utajua jitihada na commitment sio ya kitoto hapo acheni masiala
 
Mkuu Usishughulike!!
PCM => DDD Mkopo Lazima (Priority)
HKL => CCC Mkopo Dilemma! Labda aende Benki.
 
Back
Top Bottom