Tcu hawatutendei haki

Tcu hawatutendei haki

Kaliro X

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2013
Posts
749
Reaction score
440
Zimepita siku kadhaa Baada ya tcu kutoa taarifa ya baadhi ya waombaji wa vyuo vya elimu ya juu kukubaliwa na waliokataliwa kupewa nafasi hadi tar18 kwaajili ya 2nd round.

Hali ya sintofahamu imejitokeza ambapo kwa takribani siku kama nne hivi sasa mfumo wa udahili TCU cas system haufunguki,
Sasa swali ni je, tcu wana mpango gani na hawa vijana ambao wanatarajia kujiunga na elimu ya juu 2015/2016? Je, tcu wamemekosa mafundi na wataalamu wakutosha kusolve technical problems kamahizi kwa uharaka na ufanisi???
Karibuni tujadili as great thinkers...
 
Kuweni wavumilivu. Igeni maamuzi ya lowasa. Kama mmechanika
 
Yaan mm nataman niwafungie safar toka mwanza...its boring kwel
 
Ndo gvt yetu ilivyo... Anyway mwaka wa mabadliko huu..
 
Yani ninashinda sikuzote bila mafanikio haifunguki Cas.
 
Yaan mm nataman niwafungie safar toka mwanza...its boring kwel

Uende wapi? Ukafanye nini? Ili iweje? Hakuna njia mbadala ya kuwafikia ukiwa hapo ulipo.?
Kuwa mvumilivu wewe utaenda saut mwanza. Huku dar usije.
 
Hamna namna nyingine zaidi ya kupiga kura ya mabaliliko
 
Uende wapi? Ukafanye nini? Ili iweje? Hakuna njia mbadala ya kuwafikia ukiwa hapo ulipo.?
Kuwa mvumilivu wewe utaenda saut mwanza. Huku dar usije.
We nyanyado mbona unakuwa na majibu ya shomboshombo kwa vijana kila thread unacomment utumbo turn ni vzuri ukatulia kama huna cha kuchangia kaka wala hautaonekana falla
 
Uende wapi? Ukafanye nini? Ili iweje? Hakuna njia mbadala ya kuwafikia ukiwa hapo ulipo.?
Kuwa mvumilivu wewe utaenda saut mwanza. Huku dar usije.
Jieshim kama huna ku comment just watch... usitafute umaaruf fool
 
We nyanyado mbona unakuwa na majibu ya shomboshombo kwa vijana kila thread unacomment utumbo turn ni vzuri ukatulia kama huna cha kuchangia kaka wala hautaonekana falla

Inabidi tuwa challenge vijana . wengi sasa hivi wanaongozwa na mihemko. Mfano huyo anayetaka kwenda dar akafanye nini?. Umemuuliza matokeo yake.. Amekuonesha selection zake?. Tusikurupuke kudanganyana. Tunapaswa kuwa wavumilivu. Katika kipindi hiki.
 
Inabidi tuwa challenge vijana . wengi sasa hivi wanaongozwa na mihemko. Mfano huyo anayetaka kwenda dar akafanye nini?. Umemuuliza matokeo yake.. Amekuonesha selection zake?. Tusikurupuke kudanganyana. Tunapaswa kuwa wavumilivu. Katika kipindi hiki.

Haahaaaa poa poa kaka ni kweli sometime wanaboa ila na we punguzapunguza basi kuwapa makavu mwishowe wa panic hata kabla hawajaenda huko vyuoni
 
Back
Top Bottom