TCU guide book 2014/2015 vs Ndalichako

TCU guide book 2014/2015 vs Ndalichako

Samir7900000

Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
52
Reaction score
26
Habarini ndugu JF, mm ni mwanafunzi chuo kikuu naingia mwaka wa 3 nasoma Bach in education ya science based only in biology. Matokeo yangu form 6 ya 2014 nilikuwa na B- Biology, D-chemistry na E-physics yaani PCB. Sasa mama ndalichako ananiumiza kichwa kwa kusema anatuondoa tusio na CC mbili, nili apply kulingana na guide book inavosema ili mtu kupata chuo you must have D's mbili, pia katika taarifa yake kasema kama hatuna vigezo hivo tusiendelee kupoteza muda na pesa zetu. Je ushauri wenu ni upi kwangu? Mwakani mwezi wa sita inabidi nigraduate. Mawazo yenu yanahitajika, pia rejea hii guide book nimetake screenshot sehemu husika ili upate majibu zaidi. Shukrani.
1469632646117.jpg
 
Habarini ndugu JF, mm ni mwanafunzi chuo kikuu naingia mwaka wa 3 nasoma Bach in education ya science based only in biology. Matokeo yangu form 6 ya 2014 nilikuwa na B- Biology, D-chemistry na E-physics yaani PCB. Sasa mama ndalichako ananiumiza kichwa kwa kusema anatuondoa tusio na CC mbili, nili apply kulingana na guide book inavosema ili mtu kupata chuo you must have D's mbili, pia katika taarifa yake kasema kama hatuna vigezo hivo tusiendelee kupoteza muda na pesa zetu. Je ushauri wenu ni upi kwangu? Mwakani mwezi wa sita inabidi nigraduate. Mawazo yenu yanahitajika, pia rejea hii guide book nimetake screenshot sehemu husika ili upate majibu zaidi. Shukrani.View attachment 371974

Okay,

Bios - 3
Chem - 1

Jumla 4.0 endelea kupiga kitabu mkuu

Vipi, una swali lingine?
 
Wakiwatimua nendeni mahakamani, waache kufanyia majaribio maisha ya watu.
 
Na alie na two D's kama kitabu kivyokua kinaelekeza inakuaje hapo .....ama inategemea na mwaka uliomaliza ....
 
Habarini ndugu JF, mm ni mwanafunzi chuo kikuu naingia mwaka wa 3 nasoma Bach in education ya science based only in biology. Matokeo yangu form 6 ya 2014 nilikuwa na B- Biology, D-chemistry na E-physics yaani PCB. Sasa mama ndalichako ananiumiza kichwa kwa kusema anatuondoa tusio na CC mbili, nili apply kulingana na guide book inavosema ili mtu kupata chuo you must have D's mbili, pia katika taarifa yake kasema kama hatuna vigezo hivo tusiendelee kupoteza muda na pesa zetu. Je ushauri wenu ni upi kwangu? Mwakani mwezi wa sita inabidi nigraduate. Mawazo yenu yanahitajika, pia rejea hii guide book nimetake screenshot sehemu husika ili upate majibu zaidi. Shukrani.View attachment 371974
Tafuta mwana sheria
 
Kwanza ushauri wangu tunza hiyo guidbook kama unayo ili iwekigezo baadaye kuwashitaki.Ila piga book.Hata wale diploma bado waangalia namna yakwenda mahakamani
 
Kwanza ushauri wangu tunza hiyo guidbook kama unayo ili iwekigezo baadaye kuwashitaki.Ila piga book.Hata wale diploma bado waangalia namna yakwenda mahakamani
Ahsante kaka kwa wazo nzuri. Hiki kitabu ninacho ndio nilichotumia apply siwez kukifuta kwasababu kwenye page ya TCU hakipo
 
Kama unakidhi vigezo kutokana na guide book ya mwaka wako ulio apply , basi your safe .....
We uko salama , guide book ya mwaka huu haikuhusu coz teyari upo kwenye system ...labda ungekuwa una apply mwaka huu apo ndio tungekutafutia mbali aisee...
 
Kama unakidhi vigezo kutokana na guide book ya mwaka wako ulio apply , basi your safe .....
We uko salama , guide book ya mwaka huu haikuhusu coz teyari upo kwenye system ...labda ungekuwa una apply mwaka huu apo ndio tungekutafutia mbali aisee...
Ahsante mkuu
 
Back
Top Bottom