TCU batch la nane linatoka lini?

TCU batch la nane linatoka lini?

brizy

Member
Joined
Dec 13, 2014
Posts
50
Reaction score
2
Habarini wakuu.

Mimi nimepeleka barua yangu TCU jana tarehe 17/8/2015. Nilikua nauliza ma batch mengine yanachukua mda gani kutoka naogopa deadline isije ikapita nikakosa chuo.
 
Jaman naomba kufahamu Ofisi makao makuu ya TCU zipo sehemu gani hapa Dar es salaam
 
Mkuu unamaanishaa nini unaposema batch maana nimebaki kizaaa
 
Panda gari ya makumbusho tokea ubungo shukia sayansi uliza TCU wapi utaonyeshwa
 
Jmn mbn web ya tcu haifunguki..lbda mna idea kwnn n majina ya batch la 8 tutayjuaje?
 
Ivi jamani tcu na nacte Kuna uhusiano wowote ndugu zetu maana Kuna jamaa ananiambia ukichaguliwa nacte jina wanatuma tcu je Kuna ukweli wowote wa jf,embu naomba mtujuze wakuu.
 
mmh batch #10 lakini wapi hola hamna jina langu hata waliokosea,au kuna mengine yatatoka jamani?
 
yap majina yanatmwa tcu na pia tcu wameipa nacte idadi ya watu amba wanatakiwa wapitishwe na NACTE.
 
NACTE wao wamepewa idadi na TCU ukitaka kuhakikisha hilo wakati unaapply kupitia NACTE utaona sehemu ya corse unayoomba imeandikwa CAPACITY OF Applicant so wao wanashirikiana na TCU.Ukumbuke kuwa vyuo vyote vya kati (doploma&certificate) viko chini ya NACTE wao ndo watambuzi wa hivo vyuo TCU wanavitambua kupitia NACTE.Maombi ya watu wanao maliza certfcate na diploma yanapitshwa na NACTE na si TCU.nadhan nmeeleweka hapo.
 
Back
Top Bottom