thedaydreamer
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 372
- 88
sawa
Dah.. . Diploma mnapendelewa sana yaniKwa maana hyo mkuu..kwa upande wa dip kwenda bachelor



Yan we kwel hukuelewa lile tangazo walisema watafungua tar 12 mpka tar 25TCU imetoa tangazo last Friday wamefungua ku accomodate vijana waliokuwa wamekosa kwenye first selection an wengine waliochelewa wafanye application itafungwa tena tarehe 25 September,2016
Mabadiliko gani mkuu,?kuna mabadiliko kwenye profile za tcu leo sijui mmeziona
wameupdate idadi ya competitors kwenye kila courseMabadiliko gani mkuu,?
Duuh ni kweliwameupdate idadi ya competitors kwenye kila course
kuna mabadiliko kwenye profile za tcu leo sijui mmeziona