TCRA yachemka kwa Star times

TCRA yachemka kwa Star times

Hata DSTV channel za bure ziko mbili(channel10 na tbc1) badala ya 5
 
TCRA njooni mjibu tuhuma huku...
 
Tukisema star times imeiweka tcra mfukon kuna watu hapa wanajifanya sjui usalama wa taifa utasikia ukiambiwa utoe ushahid utatoa ifike wakat watanzania tujitafakar na s kutisha watu ukweli tcra imewekwa mfukon na star times Ni muda Sasa toka tangazo litoke lakn jamaa wamegoma kuonesha hizo channel bure
 
Naamini ingekua muda wa uchaguzi umekaribia,hakika TCRA ingefanya kila njia hadi wenye ving'amuzi waachie chanels za ndani kuonekana.
Aisee! Kwahiyo itabidi tusubiri mpaka mwaka 2020.
 
Mi huwa naona TBCCM, na Chanel Ten pekee kama sijalipia
 
Nilisha wahi wauliza startimes wakasema haiwezekani wao walipie local Chanel afu wafanye bure kuzionesha so wataendelea kuziuza, nadhani kunatatizo some where.
Hapa ndipo penye hoja ya msingi, vingine ni blah blah tu. Yaani wao wauziwe alafu waoneshe bure? Nawaunga mkono star times
 
Nadhani viongozi wa tcra hawakusoma mikataba ya STARTIMES
TERMS and CONDITIONS wamezipitia kweli hao tcra?

MwanaHALISI walishawahi kuandika kuhusu hawa jamaa
Acha tuvune tulichopanda
 
Dah aisee napata wakati mgumu sana kuielewa kauli ya TCRA. Kutokana na vyuma kukaza kutokana na kauli ile niliamua nisinunue vifurushi niangalie local Chanel tu bure, kifurushi cha awali kilipoisha nikaachiwa TBC1 tu.
Kama kada, hiyo channel ni bora sana kwako!
 
Hii nayo kali, yaani uuziwe channel halafu utoe bure duu??
 
Back
Top Bottom