TCRA watupe maelezo ya huu upuuzi

TCRA watupe maelezo ya huu upuuzi

Kuchwizzy

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2019
Posts
1,204
Reaction score
2,639
Tuki entertain upuuzi kama huu, tutaua hata hiki kidogo tulichonacho kwenye tech.....

IMG-20251213-WA0006.jpg


Sijajua kwanini watu wamekua kimya kwenye hiki kitu, lakini ni moja kati ya policy ya kipuuzi kuwahi kutolewa na taasisi yenye mamlaka kama TCRA

Nawa hakikishieni kwa 100% watu walionyuma ya hii policy, hawajui chochote kuhusu jinsi Internet, modern software system, APIs na global digital market inavyofanya kazi...

1. Domain names are identifiers not control points

Domain name ni routing label tu kwenye DNS servers, hai determine nani ana host hio service, nani ana control data au flow ya internet traffic, ku force kila mtu atumie country code kama top level domain haikupi regulatory oversight ya namna yoyote ile

Control ya digital services inawezekana kwenye servers, payment rails, identity systems, na contracts, sio kwenye DNS suffix

Hii sheria ina target wrong layer of the stack...narudia watu walio nyuma ya hii policy, hawajui chochote kuhusu wanachotaka kufanya

2. Breaking existing systems & Integration

System nyingi zipo tightly coupled to their domain names kwenye layers nyingi:

OAuth redirect URIs

API allowlists

TLS certificates

Mobile app deep links

Webhooks

Third party service integrations

SEO indexing and reputation scores

kote huko, kuwambie watu wa change domains zao, sio kitu rahisi kama ku change username ya mtandao wa kijamii, ku change domain sio cosmetic update
kwa system kubwa na za mda mrefu ni technical na security nightmare
Taasisi au kampuni kubwa zinaweza absorb cost na hasara ya hio update, kampuni ndogo haziwezi

3 Conflict with global platform constraints

Domain names zenye country code kuna mda huwa zina face restrictions ya verification au approval kutoka kwenye platform kubwa , mfano

App store callback verification

Email deliverability and spam scoring

CDN and DDoS protection onboarding

Payment processor domain vetting

Hii mandate ina force local actors waingie kwenye unnecessary friction na platform ambazo hawawezi kuzi control

4. Artificial scarcity and rent seeking

Hapa TCRA wanataka wawe single registry wa domains zote
Hii inafanya domain name kuwa regulatory toll badala ya marketing choice

5. Misalignment with internet governance norms

Hakuna, nchi yoyote ile serious inayoweza kuja na upuuzi kama huu

The global internet evolved on principles of voluntary adoption, interoperability, and competition. No serious digital economy mandates a national top level domain as a condition for online activity

Nchi zenye watu wenye akili timamu huwa zina focus kwenye

Data protection laws, Consumer protection, Tax compliance, Infrastructure investment, Skills development

TCRA inge focus hapo badala ya policy za hovyo kama hizi, narudi tena walio nyuma ya hii policy sio watu wanaojua chochote kuhusu Tech


6.Negative signal to investors and builders

Mandating technical choices by law signals unpredictability. Investors and engineers interpret this as regulatory risk.

Software systems zina scale by reuse, standardization, and global compatibility. A rule that forces local divergence without technical justification signals that future arbitrary constraints are likely.

Capital na watu wenye talents huwa zina avoid kuweka nguvu zao kwenye nchi za namna hii ambayo sheria inawezwa wekwa arbitrary bila kuwa na mahusiano yoyote na uhalisia

7. Penalties disconnected from technical reality

Imposing fines and prison terms for domain noncompliance ignores how digital systems are actually built and operated. Many organizations run multiple domains for valid reasons such as brand protection, redundancy, and regional optimization.

Criminalizing architectural decisions is not governance. It is coercion applied to a domain where flexibility is essential.

Imagine unapelekwa jela kwasababu uliamua kuchagua .com ku target global market badala ya .tz
Tusiwe laughing stock ya dunia, TCRA i focus kwenye vitu vya msingi, hii ni taasisi muhimu sana kwenye nchi, tusiruhusu darasa la saba watunge policy zitakazo affect technical decision

Sehemu hatari zaidi ya hii mandate ni hio karibu.tz
Wao wanataka wawe na Monopoly ya domain names registration ya nchi nzima

Monopoly siku zote inaua competition, inaongeza price
Pia inafanya censorship iwe rahisi sana na itaenda kuwa na effects kwenye upatikanaji wa huduma nyingi za kidigital

Systems nyingi kwenye internet zipo tightly coupled, uki revoke access ya doman moja kwasababu haija kidhii kigezo A au B, uta athiri upatikanaji wa service kibao zinazo rely kwenye hio domain

Hii ni sheria ni ya kupuuzwa na kuondolewa haraka sana
 

Attachments

  • IMG-20251213-WA0006.jpg
    IMG-20251213-WA0006.jpg
    142.1 KB · Views: 11
Nilileta uzi hapa CHAWA wajinga wakawa wanapinga


Taasisi na Wizara za Serikali zinatakiwa kuongozwa na watu wenye Taaluma husika ya kile wanachokifanya na kukitolea maamuzi....
 
Tuki entertain upuuzi kama huu, tutaua hata hiki kidogo tulichonacho kwenye tech.....

View attachment 3515424

Sijajua kwanini watu wamekua kimya kwenye hiki kitu, lakini ni moja kati ya policy ya kipuuzi kuwahi kutolewa na taasisi yenye mamlaka kama TCRA

Nawa hakikishieni kwa 100% watu walionyuma ya hii policy, hawajui chochote kuhusu jinsi Internet, modern software system, APIs na global digital market inavyofanya kazi...

1. Domain names are identifiers not control points

Domain name ni routing label tu kwenye DNS servers, hai determine nani ana host hio service, nani ana control data au flow ya internet traffic, ku force kila mtu atumie country code kama top level domain haikupi regulatory oversight ya namna yoyote ile

Control ya digital services inawezekana kwenye servers, payment rails, identity systems, na contracts, sio kwenye DNS suffix

Hii sheria ina target wrong layer of the stack...narudia watu walio nyuma ya hii policy, hawajui chochote kuhusu wanachotaka kufanya

2. Breaking existing systems & Integration

System nyingi zipo tightly coupled to their domain names kwenye layers nyingi:

OAuth redirect URIs

API allowlists

TLS certificates

Mobile app deep links

Webhooks

Third party service integrations

SEO indexing and reputation scores

kote huko, kuwambie watu wa change domains zao, sio kitu rahisi kama ku change username ya mtandao wa kijamii, ku change domain sio cosmetic update
kwa system kubwa na za mda mrefu ni technical na security nightmare
Taasisi au kampuni kubwa zinaweza absorb cost na hasara ya hio update, kampuni ndogo haziwezi

3 Conflict with global platform constraints

Domain names zenye country code kuna mda huwa zina face restrictions ya verification au approval kutoka kwenye platform kubwa , mfano

App store callback verification

Email deliverability and spam scoring

CDN and DDoS protection onboarding

Payment processor domain vetting

Hii mandate ina force local actors waingie kwenye unnecessary friction na platform ambazo hawawezi kuzi control
4. Artificial scarcity and rent seeking
Hapa TCRA wanataka wawe single registry wa domains zote
Hii inafanya domain name kuwa regulatory toll badala ya marketing choice

5. Misalignment with internet governance norms

Hakuna, nchi yoyote ile serious inayoweza kuja na upuuzi kama huu

The global internet evolved on principles of voluntary adoption, interoperability, and competition. No serious digital economy mandates a national top level domain as a condition for online activity

Nchi zenye watu wenye akili timamu huwa zina focus kwenye

Data protection laws, Consumer protection, Tax compliance, Infrastructure investment, Skills development

TCRA inge focus hapo badala ya policy za hovyo kama hizi, narudi tena walio nyuma ya hii policy sio watu wanaojua chochote kuhusu Tech


6.Negative signal to investors and builders

Mandating technical choices by law signals unpredictability. Investors and engineers interpret this as regulatory risk.

Software systems zina scale by reuse, standardization, and global compatibility. A rule that forces local divergence without technical justification signals that future arbitrary constraints are likely.

Capital na watu wenye talents huwa zina avoid kuweka nguvu zao kwenye nchi za namna hii ambayo sheria inawezwa wekwa arbitrary bila kuwa na mahusiano yoyote na uhalisia

7. Penalties disconnected from technical reality

Imposing fines and prison terms for domain noncompliance ignores how digital systems are actually built and operated. Many organizations run multiple domains for valid reasons such as brand protection, redundancy, and regional optimization.

Criminalizing architectural decisions is not governance. It is coercion applied to a domain where flexibility is essential.

Imagine unapelekwa jela kwasababu uliamua kuchagua .com ku target global market badala ya .tz
Tusiwe laughing stock ya dunia, TCRA i focus kwenye vitu vya msingi, hii ni taasisi muhimu sana kwenye nchi, tusiruhusu darasa la saba watunge policy zitakazo affect technical decision

Sehemu hatari zaidi ya hii mandate ni hio karibu.tz
Wao wanataka wawe na Monopoly ya domain names registration ya nchi nzima

Monopoly siku zote inaua competition, inaongeza price
Pia inafanya censorship iwe rahisi sana na itaenda kuwa na effects kwenye upatikanaji wa huduma nyingi za kidigital

Systems nyingi kwenye internet zipo tightly coupled, uki revoke access ya doman moja kwasababu haija kidhii kigezo A au B, uta athiri upatikanaji wa service kibao zinazo rely kwenye hio domain

Hii ni sheria ni ya kupuuzwa na kuondolewa haraka sana
Hivi Watanzania huwa mna matatizo gani?Kosa la TCRA ni Nini?

Wewe badala ulaumu wabunge wako ambao kazi Yao ni kupiga Makofi,kushangilia na Kumuimba Samia kwa nguvu zote,unataka kuwaangushia Jumba Bovu TCRA!

Sheria hizi na Kanuni(Muswada) hutungwa na Bunge halafu Rais wako ambaye ni Form (4) Failure huziwekea Saini na Kuwa Sheria ambao hao TCRA kazi Yao ni kuzisimamia na kuhakikisha wadau
wake wanazifuata!

Tunapokuwa tunapiga kelele kulilia Katiba Mpya Ili tupate Uchaguzi huru na Haki ambao utatupelekea Bungeni Wabunge wasomi na wenye akili timamu huwa tunaonekana kama hatulitakii mema hili Taifa,Haya ndiyo Matokeo yake!

Fikiria tu Mwaka huu mtu kama Baba levo ambaye ni muhitimu wa Darasa la saba na yeye Yuko Bungeni,unategemea Sheria za baada ya miaka 10 zitakuwaje?,Bahati mbaya sana tuna wabunge ambao wakati wanatunga na kupendekeza hizi Sheria (Muswada) huwa wanadhani zitawaumiza wapinzani na wanaharakati Kwa kipindi hicho wanaoikosoa Serikali,bila kujua zitawagharimu Watanzania!

Ukiangalia hapo,hizi Kanuni za Kijinga na Sheria hizi,zimepitishwa au kufanyiwa marekebisho kuanzia mwaka 2017 2023 na hii ni kazi ya Nape Nnauye wakati huo akijipendekeza Kwa watawala wakatunga Sheria ngumu ili kuwanasa wapinzani na wanaharakati bila kuelewa itakuwa ni kitanzi huko tuendako,Haya ndiyo Matokeo yake!

Hili zigo la lawama msimtwishe TCRA bali tujitwishe sisi wenyewe Kwa kuruhusu kuongozwa na wajinga!
 
Serikali ya ma Ccm Miili mikubwa akili kisoda kila kitu wanawaza kudhibiti tu na sio kuendeleza
Tume zote na taasisi/mamlaka kazi ni kutoza ushuru,ada,tozo ukipata shida uko peke yako hawana msaada wowote pia hawana value/ Thamani yoyote wanayoongeza zaidi ya kufikiria kukudhibiti tu na unyonyaji ,
 
Lazima uelewe lengo, lengo la serikali sio kuendeleza chochote ni control, kwa kuforce domain wanayoweza kukontrol ni rahisi kwao kuzima yoyote anayeleta shida, TZ sio sehemu ya kufanya kitu chochote kipya kwenye tech, miaka kadhaa iliyopita walikuwa wanapiga kelele za "Silicone Zanzibar" sijui African silicone valley.

Ukielewa viongozi wetu hawana principles au back bone yoyote hata siku moja hautashangazwa na maamuzi yoyote.
 
Lazima uelewe lengo, lengo la serikali sio kuendeleza chochote ni control, kwa kuforce domain wanayoweza kukontrol ni rahisi kwao kuzima yoyote anayeleta shida, TZ sio sehemu ya kufanya kitu chochote kipya kwenye tech, miaka kadhaa iliyopita walikuwa wanapiga kelele za "Silicone Zanzibar" sijui African silicone valley.

Ukielewa viongozi wetu hawana principles au back bone yoyote hata siku moja hautashangazwa na maamuzi yoyote.
Haya madhara ya kuweka vilaza kwenye nafasi za juu
Tutazidiwa na Kenya kwenye kila kitu ndani ya kipindi cha miaka 15 ijayo
 
Tuki entertain upuuzi kama huu, tutaua hata hiki kidogo tulichonacho kwenye tech.....

View attachment 3515424

Sijajua kwanini watu wamekua kimya kwenye hiki kitu, lakini ni moja kati ya policy ya kipuuzi kuwahi kutolewa na taasisi yenye mamlaka kama TCRA

Nawa hakikishieni kwa 100% watu walionyuma ya hii policy, hawajui chochote kuhusu jinsi Internet, modern software system, APIs na global digital market inavyofanya kazi...

1. Domain names are identifiers not control points

Domain name ni routing label tu kwenye DNS servers, hai determine nani ana host hio service, nani ana control data au flow ya internet traffic, ku force kila mtu atumie country code kama top level domain haikupi regulatory oversight ya namna yoyote ile

Control ya digital services inawezekana kwenye servers, payment rails, identity systems, na contracts, sio kwenye DNS suffix

Hii sheria ina target wrong layer of the stack...narudia watu walio nyuma ya hii policy, hawajui chochote kuhusu wanachotaka kufanya

2. Breaking existing systems & Integration

System nyingi zipo tightly coupled to their domain names kwenye layers nyingi:

OAuth redirect URIs

API allowlists

TLS certificates

Mobile app deep links

Webhooks

Third party service integrations

SEO indexing and reputation scores

kote huko, kuwambie watu wa change domains zao, sio kitu rahisi kama ku change username ya mtandao wa kijamii, ku change domain sio cosmetic update
kwa system kubwa na za mda mrefu ni technical na security nightmare
Taasisi au kampuni kubwa zinaweza absorb cost na hasara ya hio update, kampuni ndogo haziwezi

3 Conflict with global platform constraints

Domain names zenye country code kuna mda huwa zina face restrictions ya verification au approval kutoka kwenye platform kubwa , mfano

App store callback verification

Email deliverability and spam scoring

CDN and DDoS protection onboarding

Payment processor domain vetting

Hii mandate ina force local actors waingie kwenye unnecessary friction na platform ambazo hawawezi kuzi control

4. Artificial scarcity and rent seeking

Hapa TCRA wanataka wawe single registry wa domains zote
Hii inafanya domain name kuwa regulatory toll badala ya marketing choice

5. Misalignment with internet governance norms

Hakuna, nchi yoyote ile serious inayoweza kuja na upuuzi kama huu

The global internet evolved on principles of voluntary adoption, interoperability, and competition. No serious digital economy mandates a national top level domain as a condition for online activity

Nchi zenye watu wenye akili timamu huwa zina focus kwenye

Data protection laws, Consumer protection, Tax compliance, Infrastructure investment, Skills development

TCRA inge focus hapo badala ya policy za hovyo kama hizi, narudi tena walio nyuma ya hii policy sio watu wanaojua chochote kuhusu Tech


6.Negative signal to investors and builders

Mandating technical choices by law signals unpredictability. Investors and engineers interpret this as regulatory risk.

Software systems zina scale by reuse, standardization, and global compatibility. A rule that forces local divergence without technical justification signals that future arbitrary constraints are likely.

Capital na watu wenye talents huwa zina avoid kuweka nguvu zao kwenye nchi za namna hii ambayo sheria inawezwa wekwa arbitrary bila kuwa na mahusiano yoyote na uhalisia

7. Penalties disconnected from technical reality

Imposing fines and prison terms for domain noncompliance ignores how digital systems are actually built and operated. Many organizations run multiple domains for valid reasons such as brand protection, redundancy, and regional optimization.

Criminalizing architectural decisions is not governance. It is coercion applied to a domain where flexibility is essential.

Imagine unapelekwa jela kwasababu uliamua kuchagua .com ku target global market badala ya .tz
Tusiwe laughing stock ya dunia, TCRA i focus kwenye vitu vya msingi, hii ni taasisi muhimu sana kwenye nchi, tusiruhusu darasa la saba watunge policy zitakazo affect technical decision

Sehemu hatari zaidi ya hii mandate ni hio karibu.tz
Wao wanataka wawe na Monopoly ya domain names registration ya nchi nzima

Monopoly siku zote inaua competition, inaongeza price
Pia inafanya censorship iwe rahisi sana na itaenda kuwa na effects kwenye upatikanaji wa huduma nyingi za kidigital

Systems nyingi kwenye internet zipo tightly coupled, uki revoke access ya doman moja kwasababu haija kidhii kigezo A au B, uta athiri upatikanaji wa service kibao zinazo rely kwenye hio domain

Hii ni sheria ni ya kupuuzwa na kuondolewa haraka sana
TCRA imejaa mambumbumbu
 
Back
Top Bottom