Tronics guru
JF-Expert Member
- May 19, 2016
- 7,924
- 7,392
hahaha et wanasema sababu ni ile E2EE !Naona watu wanabishana sana humu..infact, m sio mtaalam wa maswala ya mawasiliano.
Kwann whatsapp haiwez kudukuliwa?? Sababu za kitalaam plz!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana we ndo hujaelewa!!wabongo sisi bhana! ingefaa uelewe kwanza walimaanisha nn bro, hayo ya wasapu yanaingiaje tenaa
Nimecheka sana...Wabongo kwa kujiongeza hawajambo...Hajui lolote huyu, anafikiria ku-install spy apps kwenye simu ya demu wake ndio udukuaji. Sasa si kila mtu angekuwa hacker
What kind of fact you need man?Katika science hatu deal na opinions man, we deal with facts only.
Sasa umenipinga? Umeniunga mkono? Umenikosoa ? Au umefanyeje? Kwenye maoni yangu ya mwanzo!Basi ngoja nikusaidie... Hiyo encryption kazi yake ni kufanya data sent ziwe hazieleweki MTU hata akiiba akute minumber na miherufi isiyo eleweka.. So end-end ni kuwa the key is only know by the sender n receiver.. N sender anatuma public key to a receiver ndio anaencrypt data huku original sender ataumia private key kudecrypt the text...
Sasa MTU kudecrypt by guessing ni shida sana almost impossible.. Basing on complexity theory ila kama ni base on information theory ndo huwezi break kabisa never
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera kwa kuhoa kikohozi!Naomba nifunge mjadala huu kwa kusema kwamba nimesoma usalama wa mawasiliano ya angavu
"HAKUNA USALAMA KWENYE MIFUMO YA TECHNOLOGIA KWA ASILIMIAMIA 100"
wakati unawaza what's up haiwezi kudukuliwa, kumbe ni kitu chepesi sana sema haijawa public tu
" USIAMINI KUWA WHATSUP NA TELEGRAM KUWA INA USALAMA WA END TO END ENCRYPTION NEVER EVER"
KWENYE MAMBO YA USALAMA WA TECHNOLOGIA JIAMINI WEWE KAMA WEWE USIAMINI KUWA SIJUI KITU FLANI HAKIWEZI KUDUKULIWA NOO NOO MY DEAR
Nafunga mjadala
Sent using Jamii Forums mobile app
We we ni kenge tuu... Sasa unahack VP.. Mjusi weweSasa umenipinga? Umeniunga mkono? Umenikosoa ? Au umefanyeje? Kwenye maoni yangu ya mwanzo!
Ujinga mtupu ndio maana vitoto vidogo vikigusa server za jf kidogo tu vinaitwa genius!
Ujijaribu kuniquote tena mpumbavu!
Shukrani mkuuHongera kwa kuhoa kikohozi!
Wanadhani wapo salama!
Wamiliki wenyewe wa hizo mambozi wanalia deilee na udukuzi!
Then jitu jeusi linakuja lina sema hii E2EE ndio top security!
Sawa mkuu!
Hao watu wanaishi Sayari ipi? Apple Mara nyingi tu imepelekwa mahakamani over the issues of cryptography..Sawa mkuu!
Haupo salama !
Kuna watu kuamka code ,kulala code kunya,kukojoa code.
Kudistract E2EE kwake ni uji.
Ulipoandika tu "WHATSUP" nikalazimika kupuuza comment yako yote.Naomba nifunge mjadala huu kwa kusema kwamba nimesoma usalama wa mawasiliano ya angavu
"HAKUNA USALAMA KWENYE MIFUMO YA TECHNOLOGIA KWA ASILIMIAMIA 100"
wakati unawaza what's up haiwezi kudukuliwa, kumbe ni kitu chepesi sana sema haijawa public tu
" USIAMINI KUWA WHATSUP NA TELEGRAM KUWA INA USALAMA WA END TO END ENCRYPTION NEVER EVER"
KWENYE MAMBO YA USALAMA WA TECHNOLOGIA JIAMINI WEWE KAMA WEWE USIAMINI KUWA SIJUI KITU FLANI HAKIWEZI KUDUKULIWA NOO NOO MY DEAR
Nafunga mjadala
Sent using Jamii Forums mobile app
Heeeh sifa zipi?
Nimeamini watu wanaitwa magenius kwa vitu vidogo sana.
Kuwa smart ewe jitu jeusi dunia ni ndogo sana.
Mbona mnaishia kutunishana misuli wazee...elezeeni tusiojua tuelewe... hapo hapo tutajua asiejua.Mkuu mambo usiyoyajua bora ukakaa kimya tu na kuwa 'mpenzi msomaji' ili kuficha ujinga wako.
Unaelewa kwanza maana ya end-to-end encryption?
HahaaHajui lolote huyu, anafikiria ku-install spy apps kwenye simu ya demu wake ndio udukuaji. Sasa si kila mtu angekuwa hacker πππ