TCRA wana magical button ya kuswitch off simu zote feki au tunapeana presha tu?

Hiyo ni hypothesis yako au ni fact?
Kitu unachokizungumzia hapa ni kigumu sana kuliko unavyodhania. Siyo rahisi manufacturers (there are lots, lots of them) wawasilishe IMEI numbers kwa TCRA kwa sababu hawana sababu ya kufanya hivyo na hakuna sheria inayowalazimisha kufanya hivyo. Chukulia kwa mfano Apple, hawauzi kabisa (Yes, hawauzi) simu Tanzania, uwaambie Apple Inc. wawasilishe IMEI za simu zao zote TCRA itakuwa kichekesho! Lakini eventually iPhone zinaingia Tanzania, na hauwezi kuzizuiya zisiingie!! Wenye uwezo wa kublock IMEI ya simu isipate mawasiliano ni carrier, lakini kwa simu hizi za mchina carrier ni ngumu kujua simu fake na halali kupitia IMEI peke yake. Simu nyingi "fake" au clone zinamajina ya kwa juu tu, lakini IMEI zake ziko associated na identity zake halali, yaani jina la board!

Sijuwi ni uvivu wa kufikiria tu au kukwepa majukumu, lakini anayetakiwa hasa kudhibiti simu clone, na simu zilizo chini ya viwango siyo TCRA, ni TBS. TBS ndiyo wenye dhamana ya kuhakiki viwango vya bidhaa zote zinazotengenezwa na zinazoingizwa ndani ja JMT. Ukikutana na vitasa, redio, televisheni, fenicha, simu, au kitu chochote kimeingizwa nchini na kinauzwa sokoni wa kulaumiwa na TBS. Huwezi kuanza kupiga hodi nyumba kwa nyumba kutafuta viti "fake" na kuvikamata kwenda kuvichoma moto, mlaji wa mwisho amekikuta tu sokoni, akaona bei nafuu akanunua, ukimuuzia lawama wakati wewe umeshindwa kutimiza wajibu ni ufinyu wa fikra usiomithilika!

Habari ndugu zangu,
Ninachoelewa ni kuwa kutakuwa na utaratibu wa ku-track simu zote za mikononi zilizo katika matumizi kujua kama imesajiliwa na kupewa International Identification (IMEI) na la. Utaratibu huo ambao utatumia kwa sasa haujawekwa wazi kwetu sisi walaji. Lakini mimi binafsi naamini inawezekana kufanya hivyo. Tukumbuke kuwa simu zote ambazo ziko katika matumizi service providers (Kama Tigo, Vodacom Airtel na wengine) wanafahamu huyu mlaji/mteja wetu anatumia simu yenye huo usajili (IMEI) au la, lakini kama mteja/mlaji huyo anatumia simu yenye utambuzi huo basi wanajua ni IMEI gani.

Kwahiyo sasa, pia TCRA nao wana uwezo huohuo na zaidi ya hapo. Lakini haimaanishi kuwa watengenezaji wa simu (manufacturers) wataleta orodha ya simu zao na IMEI zao na kuwakabidgi TCRA.. NO doesn't work like that. Hawa service providers wote wanaitambua kila handset kwa IMEI yake kwa zile zote zenye IMEI. Na wanajua kuwa mteja huyu anatumia simu ambayo hana international identification (IMEI) au la. Ndio maana leo hii kama una kumbukumbu ya IMEI ya simu yako then ikaibiwa popote au kupotea.. kisha ikienda tu hewani (yaani mtu mwingine akawa anaitumia) basi inaweza kuwa tracked. Inakuwa tracked kwa kutumia IMEI hiyo. Kwahiyo mfumo wa kum-track mtu huyo ni kwamba IMEI hiyo inakuwa linked na namba ya simu hiyo kisha tower zina-locate mtu alipo.

Kwa faida ya wasomaji wengi, mnaweza kuchungulia IMEI ya simu yako kwa kufungua mtandao huu Check IMEI - IMEI.info ingawa nitahadhalishe kuwa huu mtandao hauhusiani na mfumo wa TCRA kuhakiki IMEI ya simu yako.

Lugha ya kienyeji wanasema "watazima simu zote" haimaanishi simu ambazo IMEI zake haziko registered zitazimika, No.. ila zitakuwa disabled, wakifanya hivyo hazitaweza kuunganisha na service provider hata kama ina SIM card.

Asante kwako.
 
Wadau,
Hawa watu wanasema ifikapo June watazima simu zote feki, ajabu washalamba ushuru wa simu hizo na wao wenyewe (serikali) ndio waliotoa kibali ziingie nchini na kuuzwa. Anyway, swali langu ni dogo tu, je, TCRA wana magical button ya kuswitch off simu zote feki? how do they control our phone countrywide? Ningependa kufahamu the technology behind. Isije kuwa mbwembwe tu.
Habari ndugu zangu,
Ninachoelewa ni kuwa kutakuwa na utaratibu wa ku-track simu zote za mikononi zilizo katika matumizi kujua kama imesajiliwa na kupewa International Identification (IMEI) na la. Utaratibu huo ambao utatumia kwa sasa haujawekwa wazi kwetu sisi walaji. Lakini mimi binafsi naamini inawezekana kufanya hivyo. Tukumbuke kuwa simu zote ambazo ziko katika matumizi service providers (Kama Tigo, Vodacom Airtel na wengine) wanafahamu huyu mlaji/mteja wetu anatumia simu yenye huo usajili (IMEI) au la, lakini kama mteja/mlaji huyo anatumia simu yenye utambuzi huo basi wanajua ni IMEI gani.

Kwahiyo sasa, pia TCRA nao wana uwezo huohuo na zaidi ya hapo. Lakini haimaanishi kuwa watengenezaji wa simu (manufacturers) wataleta orodha ya simu zao na IMEI zao na kuwakabidgi TCRA.. NO doesn't work like that. Hawa service providers wote wanaitambua kila handset kwa IMEI yake kwa zile zote zenye IMEI. Na wanajua kuwa mteja huyu anatumia simu ambayo hana international identification (IMEI) au la. Ndio maana leo hii kama una kumbukumbu ya IMEI ya simu yako then ikaibiwa popote au kupotea.. kisha ikienda tu hewani (yaani mtu mwingine akawa anaitumia) basi inaweza kuwa tracked. Inakuwa tracked kwa kutumia IMEI hiyo. Kwahiyo mfumo wa kum-track mtu huyo ni kwamba IMEI hiyo inakuwa linked na namba ya simu hiyo kisha tower zina-locate mtu alipo.

Kwa faida ya wasomaji wengi, mnaweza kuchungulia IMEI ya simu yako kwa kufungua mtandao huu Check IMEI - IMEI.info ingawa nitahadhalishe kuwa huu mtandao hauhusiani na mfumo wa TCRA kuhakiki IMEI ya simu yako.

Lugha ya kienyeji wanasema "watazima simu zote" haimaanishi simu ambazo IMEI zake haziko registered zitazimika, No.. ila zitakuwa disabled, wakifanya hivyo hazitaweza kuunganisha na service provider hata kama ina SIM card.
Asante kwako.
 
Hiyo ni hypothesis yako au ni fact?
Kitu unachokizungumzia hapa ni kigumu sana kuliko unavyodhania. Siyo rahisi manufacturers (there are lots, lots of them) wawasilishe IMEI numbers kwa TCRA kwa sababu hawana sababu ya kufanya hivyo na hakuna sheria inayowalazimisha kufanya hivyo. Chukulia kwa mfano Apple, hawauzi kabisa (Yes, hawauzi) simu Tanzania, uwaambie Apple Inc. wawasilishe IMEI za simu zao zote TCRA itakuwa kichekesho! Lakini eventually iPhone zinaingia Tanzania, na hauwezi kuzizuiya zisiingie!! Wenye uwezo wa kublock IMEI ya simu isipate mawasiliano ni carrier, lakini kwa simu hizi za mchina carrier ni ngumu kujua simu fake na halali kupitia IMEI peke yake. Simu nyingi "fake" au clone zinamajina ya kwa juu tu, lakini IMEI zake ziko associated na identity zake halali, yaani jina la board!

Sijuwi ni uvivu wa kufikiria tu au kukwepa majukumu, lakini anayetakiwa hasa kudhibiti simu clone, na simu zilizo chini ya viwango siyo TCRA, ni TBS. TBS ndiyo wenye dhamana ya kuhakiki viwango vya bidhaa zote zinazotengenezwa na zinazoingizwa ndani ja JMT. Ukikutana na vitasa, redio, televisheni, fenicha, simu, au kitu chochote kimeingizwa nchini na kinauzwa sokoni wa kulaumiwa na TBS. Huwezi kuanza kupiga hodi nyumba kwa nyumba kutafuta viti "fake" na kuvikamata kwenda kuvichoma moto, mlaji wa mwisho amekikuta tu sokoni, akaona bei nafuu akanunua, ukimuuzia lawama wakati wewe umeshindwa kutimiza wajibu ni ufinyu wa fikra usiomithilika!
Inawezekana kuzima HANDSET PASIPO kumshirikisha MANUFACTURER, Kinachohitajika ni kujua utambulisho wa kifaa yaani IMEI, taarifa hizo zinapatikana kwa service provider ( VODACOM, AIRTEL, TIGO, etc) so kinachofanyika ni ku disiable IMEI zote ambazo haziko registered kama ORIGINAL BRAND!
TCRA wana uwezo wa kupata chochote kutoka kwa watoa huduma!
Nazungumza nikiwa na uhakika coz nipo kwenye FIELD ya MAWASILIANO
BussyB
 
Inawezekana kuzima HANDSET PASIPO kumshirikisha MANUFACTURER, Kinachohitajika ni kujua utambulisho wa kifaa yaani IMEI, taarifa hizo zinapatikana kwa service provider ( VODACOM, AIRTEL, TIGO, etc) so kinachofanyika ni ku disiable IMEI zote ambazo haziko registered kama ORIGINAL BRAND!
TCRA wana uwezo wa kupata chochote kutoka kwa watoa huduma!
Nazungumza nikiwa na uhakika coz nipo kwenye FIELD ya MAWASILIANO
BussyB
Professional response! Good!
 
Mm naona ntakuwa muhanga Wa tcra kwasabubu nilipo uliza iliniletea jibu la simu yaki haipo wakasema niwasiliane naliye niuzia aisee npaka sasa kweli inanipa tabu
 
Wao Wazime Tu, Ila Na WALIOHUSIKA Na KURUHUSU SIMU HIZO Ambazo Sio HALISI Kuingia Nchini, Ama Iwe Kwa UZEMBE Au Kwa MAKUSUDI, WACHUKULIWE Hatua Kali Za Kinidhamu Na Kisheria!! MAANA Kutokana Na Ama UZEMBE Wao Au Kutumia Ofisi / Madaraka Vibaya, Imepelekea Watanzania Wanyonge "KUTAPELIWA " Na "KUPATWA NA MADHARA " Na Wafanyabiashara WALIOWAUZIA SIMU Na BIDHAA Nyingine Nyingi Zisizo Na Ubora!!!! SO Wanapopanga Kuzima Simu Hizo, Meanwhile Wawakamate Wale Wooote Waliohusika Na UZEMBE Au MATUMIZI MABAYA YA OFISI / MAMLAKA ZAO!!!!
Umeandika kama katiba au sheria vile.....!!!
 
Ni kweli mkuu, TBS wana share yao ya lawama. Tumeona baadhi ya nyakati akiharibu bidhaa zilizo chini ya kiwango, japo sijawahi sikia kama simu zinaharibiwa pia. Sijui sasa kama nazo wana regulate au la, maana kuna baadhi ya bidhaa mfano dawa na mafuta ya kujipata, husimamiwa na TFDA na si TBS. Asije akawa mhusika ni mwingine.
Lakini pia simu zenye IMEI fake zinajulikana kabisa, TBS au serikali huwa haiongizani na mteja huko China kununua mzigo. Wafanyabiashara pia wanajua kwamba zigo analoleta ni fake. Sasa kwanini nao wasilete kitu bora mpaka wasubiri mamlaka husika zije ziwaharibie? Lawama kubwa nampa mfanyabiashara anayeuza. Na kama hana elimu kuhusu simu, basi kavamia biashara.
Kama Leo Wanapita Duka Moja Hadi Jingine, Kukagua MAGURUDUMU Yaliotumika Na Yasio Na Ubora Na Kuyakamata Na Kwenda Kuyateketeza!!! Why Simu Hawafanyi Hilo!!!!?? Kulikoni!!!!??
 
Jamani. kama fake ni yangu kama laini nimeisajili kwa kitambulisho halali na kama vocha naweka kwa pesa yangu serikali inaacha kutusaidia tusiibiwe muda wetu wa hewani na makampuni ya simu wameona kutukaba wanyonge tulionunuwa simu za bei rahisi wanaziita feki jamani si yangu mwenyewe mradi napata mawasiliano. wakabe makampuni hayo ya mawasiliano ndio feki kwa kutuuzia huduma tunalipia huduma ambayo mara nyingine hupati kabisa au unacheleweshwa kuuziwa kifurushi ili salio lako limegwe ukute sio 500 tena ni 470 halafu wakutumie sms salio lako halitoshi
Simu ni yako, sawa!
Salio ni lako, sawa!
Laini, kitambulisho vyote ni vyako, sawa!
Ila wewe si wako! Wewe ni wa jamhuri, hivyo Jamhuri mwenyewe anayohaki ya kukuzuia kutumia simu fake zenye kukusanya mionzi mikali isiyokidhi vigezo halali kwa afya yako.
Jamhuri anataka uendelee kuwa salama ndio maana anayafanya haya yote.
 
Sidhani kama watazima simu... but what watafanya ni sim card yako haitofanya kazi if imei no yako haitambuliki au ina confusion na system zao.
 
Simu ni yako, sawa!
Salio ni lako, sawa!
Laini, kitambulisho vyote ni vyako, sawa!
Ila wewe si wako! Wewe ni wa jamhuri, hivyo Jamhuri mwenyewe anayohaki ya kukuzuia kutumia simu fake zenye kukusanya mionzi mikali isiyokidhi vigezo halali kwa afya yako.
Jamhuri anataka uendelee kuwa salama ndio maana anayafanya haya yote.
mkuu umenena vyema. nisilolijua ni kama usiku wa giza nene. swala la mionzi ni geni kwangu. sasa ikiwa lina hatari hivyo kwa nini tokea utawala wa mkapa miaka zaidi ya 20 umri wa mtu mwenye watoto swala hilo lisingamuliwe haraka ili hiyo hiyo jamhuri izuie wafamyabiashara kutoziingiza nchini na la muhimu zaidi ni kutoa elimu sahihi kwa watumiaji wasizinunue hata kwa bahati mbaya zikapenyezwa kwa njia ya panya bado watumiaji hawazinunua kwa vile tayari wamepewa tahadhari na jamhuri kuwa zinaathari ya mionzi na kwa njia hiyo simu feki zingekosa soko .
Jamhuri. leo ndio kaona muda muafaka wa kuzizima hizo feki baada ya miaka 20 kupita. swali ni wangapi tayari wamekwisha athirika mpaka sasa. kama hakuna takwimu rasmi basi jamhuri ipotezee itafute njia mbadala ya kuuwa biashara ya simu feki ili zipotee mitaani na kuna uhakika zaidi kutumia njia ya kuwatahadharisha watumiaji kwa kuwapa elimu ya kutosha kuhusu hatari ya mionzi kwa afya. sisi sote tunapenda kuishi na afya tele tunaogopa kufa ingawa maisha magumu kuishi na afya ni raha
 
Back
Top Bottom