Kwanini TCRA hawasajili IMEI numbers za simu kabla ya kuanza kutumika kama ambavyo TRA wanavyosajili chassis numbers za magari?

Infantry Soldier

JF-Expert Member
Feb 18, 2012
15,893
16,316
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.

Eti, Kwanini kwenye kusajili simcard hawasajili na IMEI number ya handset ya mhusika???? KWANINI TRA WANASAJILI MAGARI LAKINI TCRA HAWASAJILI HANDSETS??? Najua baadhi ya watu watakuja hapa na kusema kuwa IMEI number huonekana automatically kwenye computer system ya service provider pindi simcard inapochomekwa kwenye handset.

Sasa kwanini mtu akipoteza kifaa cha kielektroniki (let's say it's a mobile handset) ukienda kutoa report police wanakwambia uwapelekee na IMEI number ya kifaa husika????

Kwanini simcard na mobile handset visisajiliwe vyote kwa pamoja na kwa wakati mmoja kwa kitambulisho kutoka katika mamlaka za serikali kiasi kwamba ikitokea mimi Infantry Soldier nimepoteza handset nikienda Police wasiniombe tena IMEI number ya kifaa husika???

IKIWEZAKANA HANDSET ISAJILIWE DUKANI WAKATI WA KUNUNUA. WAUZAJI KATIKA MADUKA YA SIMU WAWE NA KIFAA CHA KISASA CHA USAJILI.

Hii inawezekana kweli au mimi ndio mshamba wa technology???
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.

Eti, Kwanini kwenye kusajili simcard hawasajili na IMEI number ya handset ya mhusika???? Najua kuna baadhi ya watu watakuja hala na kusema kuwa IMEI number huonekana automatically kwenye computer system ya service provider pindi simcard inapochomekwa kwenye handset.

Sasa kwanini mtu akipoteza kifaa cha kielektroniki (let's say it's a mobile handset) ukienda kutoa report police wanakwambia uwapelekee na IMEI number ya kifaa husika????

Kwanini simcard na mobile handset visisajiliwe vyote kwa pamoja na kwa wakati mmoja kwa kitambulisho kutoka katika mamlaka za serikali kiasi kwamba ikitokea mimi Infantry Soldier nimepoteza handset nikienda Police wasiniombe tena IMEI number ya kifaa husika???

Hii inawezekana kweli au mimi ndio mshamba wa technology???

NB: NSSF Arusha nipeni pesa zangu za redundancy mtaani maisha ni magumu sana. Mungu anawaona mjue????
Nafikiri sababu kuu tunabadili saana handset.
 
Sidhani kama hii ni sababu tosha
Kwanini handset isisajiliwe wakati wa kununua pale dukani? Iwe ni compulsory....
1. Ndio ni sababu tosha. Simu haina uhusiano na SIM card hivyo hakuna sababu ya kuvisajili/kuvilock pamoja. SIM card inaweza kuwekwa kwenye GSM device yoyote ile, temporarily or permanently for any reason. Vile vile, simu inaweza kuingizwa SIM card yoyote ile temporarily or permanently kwa sababu yoyote ile.

Kuna use cases nyingi sana za wateja, mfano:

International Travellers
Modems and Routers
GPS trackers
4G cameras & security systems

The idea that siju zisajiliwe dukani is absurd! Achana na complexity inayohusika kutrain wauza simu wote, fikiria watu wanaouziana simu na kupeana simu. Fikiria watu wanaoagiza simu wenyewe. Fikiria watu wanaosafiri kimataifa ambao wanaingiza tu line ya nchi husika. Hawa watasajili wapi? What benefits zinakuwa achieved kwa complexity hiyo?

Polisi wanahitaji IMEI ya simu hiyo kwasababu itawarahisishia kuquery mitandao yote kujua SIM card iliyopo kwenye simu husika currently.

Keep your IMEI in a safe storage kwa ajili hio.
 
1. Ndio ni sababu tosha. Simu haina uhusiano na SIM card hivyo hakuna sababu ya kuvisajili/kuvilock pamoja. SIM card inaweza kuwekwa kwenye GSM device yoyote ile, temporarily or permanently for any reason. Vile vile, simu inaweza kuingizwa SIM card yoyote ile temporarily or permanently kwa sababu yoyote ile.

Kuna use cases nyingi sana za wateja, mfano:

International Travellers
Modems and Routers
GPS trackers
4G cameras & security systems

The idea that siju zisajiliwe dukani is absurd! Achana na complexity inayohusika kutrain wauza simu wote, fikiria watu wanaouziana simu na kupeana simu. Fikiria watu wanaoagiza simu wenyewe. Fikiria watu wanaosafiri kimataifa ambao wanaingiza tu line ya nchi husika. Hawa watasajili wapi? What benefits zinakuwa achieved kwa complexity hiyo?

Polisi wanahitaji IMEI ya simu hiyo kwasababu itawarahisishia kuquery mitandao yote kujua SIM card iliyopo kwenye simu husika currently.

Keep your IMEI in a safe storage kwa ajili hio.
Kaka, umesoma ukaelewa maudhui ya hii thread vizuri???
 
Polisi wanahitaji IMEI ya simu hiyo kwasababu itawarahisishia kuquery mitandao yote kujua SIM card iliyopo kwenye simu husika currently.
Simu nimenunua three years back hilo box lenye IMEI nitakuwa nalo bado tu humo ndani? Kwani kuna technical hindrance gani kwenye kusajili handsets???
 
Kaka, umesoma ukaelewa maudhui ya hii thread vizuri???
I took my time kuandaa jibu comprehensive as the question is, naambiwa sijaelewa maudhui. I feel very insulted.

Let us go through your thread tuone ni wapi ambapo sijaelewa.
Eti, Kwanini kwenye kusajili simcard hawasajili na IMEI number ya handset ya mhusika????
Kwanini simcard na mobile handset visisajiliwe vyote kwa pamoja na kwa wakati mmoja kwa kitambulisho kutoka katika mamlaka za serikali
Unataka kujua kwanini kwenye kusajili SIM card hawasajili IMEI sio? Kwamba kwanini hawaassociate a sim card to an IMEI wakati wa SIM registration? Nikasema haya:
Simu haina uhusiano na SIM card hivyo hakuna sababu ya kuvisajili/kuvilock pamoja. SIM card inaweza kuwekwa kwenye GSM device yoyote ile, temporarily or permanently for any reason. Vile vile, simu inaweza kuingizwa SIM card yoyote ile temporarily or permanently kwa sababu yoyote ile.

IKIWEZAKANA HANDSET ISAJILIWE DUKANI WAKATI WA KUNUNUA. WAUZAJI KATIKA MADUKA YA SIMU WAWE NA KIFAA CHA KISASA CHA USAJILI.
On a related note, ukataka kuona uwezekano wa wauza simu kusajili hizo simu. Nikasema:
Kuna use cases nyingi sana za wateja, mfano:

International Travellers
Modems and Routers
GPS trackers
4G cameras & security systems

The idea that siju zisajiliwe dukani is absurd! Achana na complexity inayohusika kutrain wauza simu wote, fikiria watu wanaouziana simu na kupeana simu. Fikiria watu wanaoagiza simu wenyewe. Fikiria watu wanaosafiri kimataifa ambao wanaingiza tu line ya nchi husika. Hawa watasajili wapi?


Sasa kwanini mtu akipoteza kifaa cha kielektroniki (let's say it's a mobile handset) ukienda kutoa report police wanakwambia uwapelekee na IMEI number ya kifaa husika????
Unataka kujua kwanini Polisi wanataka IMEI number, sio?
Polisi wanahitaji IMEI ya simu hiyo kwasababu itawarahisishia kuquery mitandao yote kujua SIM card iliyopo kwenye simu husika currently.

Keep your IMEI in a safe storage kwa ajili hio.

Kweli mimi sijaelewa maudhui ya thread? Au you are not smart enough kuchambua jibu nililokupa?

Simu nimenunua three years back hilo box lenye IMEI nitakuwa nalo bado tu humo ndani?
This just shows you suck at keeping records. Kuna Google drive na online storage kibao. You can store your IMEI numbers and other important records in there.

Hii inawezekana kweli au mimi ndio mshamba wa technology???
When you ask, sit your ass and listen.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.

Eti, Kwanini kwenye kusajili simcard hawasajili na IMEI number ya handset ya mhusika???? Najua kuna baadhi ya watu watakuja hapa na kusema kuwa IMEI number huonekana automatically kwenye computer system ya service provider pindi simcard inapochomekwa kwenye handset.

Sasa kwanini mtu akipoteza kifaa cha kielektroniki (let's say it's a mobile handset) ukienda kutoa report police wanakwambia uwapelekee na IMEI number ya kifaa husika????

Kwanini simcard na mobile handset visisajiliwe vyote kwa pamoja na kwa wakati mmoja kwa kitambulisho kutoka katika mamlaka za serikali kiasi kwamba ikitokea mimi Infantry Soldier nimepoteza handset nikienda Police wasiniombe tena IMEI number ya kifaa husika???

IKIWEZAKANA HANDSET ISAJILIWE DUKANI WAKATI WA KUNUNUA. WAUZAJI KATIKA MADUKA YA SIMU WAWE NA KIFAA CHA KISASA CHA USAJILI.

Hii inawezekana kweli au mimi ndio mshamba wa technology???

NB: NSSF Arusha nipeni pesa zangu za redundancy mtaani maisha ni magumu sana. Mungu anawaona mjue????
Mara nyingi wataalamu (washauri) huwa hawafanyi utafiti wa kutosha kabla ya kuanzisha jambo flani, ndo matokeo yake tunafanya vitu nusu nusu.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.

Eti, Kwanini kwenye kusajili simcard hawasajili na IMEI number ya handset ya mhusika???? Najua kuna baadhi ya watu watakuja hapa na kusema kuwa IMEI number huonekana automatically kwenye computer system ya service provider pindi simcard inapochomekwa kwenye handset.

Sasa kwanini mtu akipoteza kifaa cha kielektroniki (let's say it's a mobile handset) ukienda kutoa report police wanakwambia uwapelekee na IMEI number ya kifaa husika????

Kwanini simcard na mobile handset visisajiliwe vyote kwa pamoja na kwa wakati mmoja kwa kitambulisho kutoka katika mamlaka za serikali kiasi kwamba ikitokea mimi Infantry Soldier nimepoteza handset nikienda Police wasiniombe tena IMEI number ya kifaa husika???

IKIWEZAKANA HANDSET ISAJILIWE DUKANI WAKATI WA KUNUNUA. WAUZAJI KATIKA MADUKA YA SIMU WAWE NA KIFAA CHA KISASA CHA USAJILI.

Hii inawezekana kweli au mimi ndio mshamba wa technology???

NB: NSSF Arusha nipeni pesa zangu za redundancy mtaani maisha ni magumu sana. Mungu anawaona mjue????
Kesho ukibadili simu, ukasajili tena IMEI?
Polisi wanataka unayotumia kwa wakati huo.
 
Polisi awana access ya kujua simcard yako ilichomekwa kwenye kifaa chenye IMEI number ipi, hivyo inabidi umfuate service provider aangalie IMEI no.uliyokuwa ukiitumia then ndio uipeleke polisi. Japo hili jambo la kusajili IMEI na Simcard lina changamoto zake hasa kwa wale wanaopenda kubadilisha simu, ifike mahala mtu uwe na simu moja permanent na uisajili, ikitumika vibaya tunakudaka. Na hii itakomesha kabisa wizi wa simu, ukichomeka line yako kwenye simu ya mtu mwingine inagoma.na taarifa zako automatically zinatumwa kwa service provider kwamba umeiba simu ya mtu.
 
Polisi awana access ya kujua simcard yako ilichomekwa kwenye kifaa chenye IMEI number ipi, hivyo inabidi umfuate service provider aangalie IMEI no.uliyokuwa ukiitumia then ndio uipeleke polisi. Japo hili jambo la kusajili IMEI na Simcard lina changamoto zake hasa kwa wale wanaopenda kubadilisha simu, ifike mahala mtu uwe na simu moja permanent na uisajili, ikitumika vibaya tunakudaka. Na hii itakomesha kabisa wizi wa simu, ukichomeka line yako kwenye simu ya mtu mwingine inagoma.na taarifa zako automatically zinatumwa kwa service provider kwamba umeiba simu ya mtu.
Huwezi kumlock mtu atumie device moja.

In no way is this acceptable.
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom