TCRA wameshikwa Masikio

TCRA wameshikwa Masikio

JakaRoho

Member
Joined
Jun 7, 2013
Posts
40
Reaction score
6
Wadau Juzi ya Jana..,TCRA walitoa tamko la kutaka Star TV irejee Star Times Mara moja tena kufikia saa kumi jioni, cha kushagaza mpaka kufikia leo Star TV hatuioni..,nafikiri nikisema TCRA wameshikwa Masikio sitang'olewa Jino wala Kucha..
 
mpaka raia tumejichukulia sheria mkononi tunaiona star tv kwa njia isiyo halali. wApi TCRA
 
mmmh mapya haya....nasikia wenye king'amuzi cha sasa hivi chenye antena kama ya zuku ndo wanaipata, ila wenye ving'amuzi vya zamani hawaioni mmmh! si cha kike hiki loh!!!!!!!!!!! TCRA kubalini mliingizwa chochoooo
 
Wadau Juzi ya Jana..,TCRA walitoa tamko la kutaka Star TV irejee Star Times Mara moja tena kufikia saa kumi jioni, cha kushagaza mpaka kufikia leo Star TV hatuioni..,nafikiri nikisema TCRA wameshikwa Masikio sitang'olewa Jino wala Kucha..

Kuna ufisadi mkubwa unaofanyika kati ya tcra na startimes, nipo naandaa report anytime ntaibwaga ikiwa na ushaidi wa majina.Na ndiyo maana wameshindwa kumwinukia anton diallo.Wanajua wana&walichokifanya.
 
Back
Top Bottom