TCRA waangalieni Halotel

TCRA waangalieni Halotel

Rudi Nyumbani Kumenoga

TTCL baadhi tmya maeneo mtandao wao haukamati kabisa. Hata hao TTCL miyeyusho tupu, kuna siku niliniunga toboa bando mambo hovyo hovyo tu yaani. Afadhali imebaki Tigo na Voda sema huduma zao zimekuwa ghali sana kwa mimi ninayeishi maisha kusaka tonge.


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Kwa wenzetu wa dunia ya kwanza ushindani wa biashara kati ya kampuni za simu ungekuwa katika kuboresha huduma zao lakini hapa wanashindana kwa kumwibia mteja!
TCRA kazi yao ni kusimamia dhuluma na udukuzi wa raia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwamba TCRA wanasimamia udukuzi na duhuluma zinazofanywa na hii mitandao.


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Mimi huwa natumia vizuri tu hicho kifurushi cha 1500 na lengo langu linatimia. Hapo shida ipo kwako huenda uwezo wa simu yako halotel bado ipo vizuri mno.

Broo natumia Iphone 8 plus, sema tu hawa halotel ni miyeyusho siku hizi ila hapo nyuma ulikuwa ndio mtandao wangu pendwa.


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Aisee hawa jamaa kuna siku nimejiunga 1gb ndani ya sekunde zisizozidi 40 wameimaliza yote, nilipowapigia huduma kwa wateja wakanambia eti "tayari umeshatumia", nikawauliza nimefanyia nini maana nyie mnaona huko wapi nilitembelea na kupakua chochote!? Na nikawauliza, ina maana nyie siku hizi mna kasi ya 10G+ mpaka iwe chini ya dakika tayari imeshashusha/kupakua file lenye ukubwa wa 1gb!? Nikakosa majibu nikaambiwa tu tatizo lako limewasilishwa kwa wahusika watalifanyia kazi lakini kimya.

Mpaka leo sinunui vifurushi vya zaidi ya buku ili hata wakinifanyia uhuni isiniume sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Haswaaaa, ngoja namimi nianzee kutembea na mwendo wa Buku buku tu hakuna jinsi


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Back
Top Bottom