TCRA waangalieni Halotel

TCRA waangalieni Halotel

Redpanther

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2019
Posts
3,034
Reaction score
4,273
Habari zenu wakuu,

Mie nina malalamiko dhidi ya huduma za Halotel hasa hasa kwenye Internet.

Hii leo ni mara ya tatu nikijiunga kifurushi cha usiku kile cha 1500/- ambacho kwa madai yao ni kwamba kifurushi hiki hakina ukomo. Kwahiyo ni kuanzia saa sita usiku hadi saa kumi na mbili na mbili alfajiri.

Kwa uzoefu wangu, hawa watoa huduma za mwasiliano wamekuwa wakitudanganya wateja wao kwa hiyo lugha na watu tunajiunga lakini cha ajabu internet yao wanaibana na hadi mpaka file za size ya 50MB unatumia saa moja hadi mawili kulipakua.

Naombeni TCRA mtusaidie raia ambao tunatumia huduma hii ya internet kupatiwa huduma sawa sawa na maelezo.

Nawasilisha

Happy dude
 
Aisee hawa jamaa kuna siku nimejiunga 1gb ndani ya sekunde zisizozidi 40 wameimaliza yote, nilipowapigia huduma kwa wateja wakanambia eti "tayari umeshatumia", nikawauliza nimefanyia nini maana nyie mnaona huko wapi nilitembelea na kupakua chochote!? Na nikawauliza, ina maana nyie siku hizi mna kasi ya 10G+ mpaka iwe chini ya dakika tayari imeshashusha/kupakua file lenye ukubwa wa 1gb!? Nikakosa majibu nikaambiwa tu tatizo lako limewasilishwa kwa wahusika watalifanyia kazi lakini kimya.

Mpaka leo sinunui vifurushi vya zaidi ya buku ili hata wakinifanyia uhuni isiniume sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee hawa jamaa kuna siku nimejiunga 1gb ndani ya sekunde zisizozidi 40 wameimaliza yote, nilipowapigia huduma kwa wateja wakanambia eti "tayari umeshatumia", nikawauliza nimefanyia nini maana nyie mnaona huko wapi nilitembelea na kupakua chochote!? Na nikawauliza, ina maana nyie siku hizi mna kasi ya 10G+ mpaka iwe chini ya dakika tayari imeshashusha/kupakua file lenye ukubwa wa 1gb!? Nikakosa majibu nikaambiwa tu tatizo lako limewasilishwa kwa wahusika watalifanyia kazi lakini kimya.

Mpaka leo sinunui vifurushi vya zaidi ya buku ili hata wakinifanyia uhuni isiniume sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii tabia na voda wanayo. Niliwahi kununua 2gb na mb kadhaa zikaisha ndani ya dakika mbili nikiwa sijaingia kokote. Nilipowapigia simu mwanzoni wakaniambia kulikuwa na tatizo la mtandao ila baadaye wakanigeuka wakasema niliitumia. Wajinga sana. Halafu kitu ambacho hawataki kuelewa ni kuwa hata kama mtandao utakuwa na kasi ya 10GB/sec bado haihalalishi kifurushi kwenda mbio maana ile ni kasi ya mtandao na sio kiasi cha data ambazo zimekuwa uploaded ama downloaded. Maana yake ni kuwa ukidownload file la GB 1 au 2 speed ya kupakua itakuwa ni 2/10gb/sec (sijui kama nimeandika sawa wanamahesabu.
 
Habari zenu wakuu, Mie nina malalamiko dhidi ya huduma za halotel hasa hasa kwenye Internet. Hii leo ni mara ya tatu nikijiunga kifurushi cha usiku kile cha 1500/- ambacho kwa madai yao ni kwamba kifurushi hiki hakina ukomo. Kwahiyo ni kuanzia saa sita usiku hadi saa kumi na mbili kabili alfajiri.
Kwa uzoefu wangu, hawa watoa huduma za mwasiliano wamekuwa wakitudanganya wateja wao kwa hiyo lugha na watu tunajiunga lakini cha Ajabu internet yao wanaibana na hadi mpaka file za size ya 50MB unatumia saa moja hadi mawili kulipakua.
Naombeni TCRA mtusaidie raia ambao tunatumia huduma hii ua internet kuoatiwa huduma sawa sawa na Maelezo.
Nawasilisha


Happy dude


Halafu ni waongo sana kwa wateja, hebu angalia hichi kitu; ukijaribu kupiga hiyo simu ili uvute huo mpunga wala haipatikani.🤣🤣.
Screenshot_20200220-054608.png
 
Mimi huwa natumia vizuri tu hicho kifurushi cha 1500 na lengo langu linatimia. Hapo shida ipo kwako huenda uwezo wa simu yako halotel bado ipo vizuri mno.
 
Halotel wako vizuri, mapungufu hayakosekani, hata mitandao mingine ni uchuro vile vile!
 
Halotel walianza vizuri lakini sasa hawana tofauti na Vodacom, wameanza wizi wa kupindukia.
Habari zenu wakuu, Mie nina malalamiko dhidi ya huduma za halotel hasa hasa kwenye Internet.

Hii leo ni mara ya tatu nikijiunga kifurushi cha usiku kile cha 1500/- ambacho kwa madai yao ni kwamba kifurushi hiki hakina ukomo. Kwahiyo ni kuanzia saa sita usiku hadi saa kumi na mbili na mbili alfajiri.

Kwa uzoefu wangu, hawa watoa huduma za mwasiliano wamekuwa wakitudanganya wateja wao kwa hiyo lugha na watu tunajiunga lakini cha ajabu internet yao wanaibana na hadi mpaka file za size ya 50MB unatumia saa moja hadi mawili kulipakua.

Naombeni TCRA mtusaidie raia ambao tunatumia huduma hii ya internet kupatiwa huduma sawa sawa na Maelezo.

Nawasilisha

Happy dude

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ili ukifaidi hichi kifurushi kinahitaji usiwe na bando lingine zaidi yake. Yaan pote pasome 0 kuanzia mb mpaka salio la kawaida.

Ila bado halotel ni wezi kuna siku nilitumiwa zawadi ya hizo GB kufika saa sita usiku naambiwa sina salio
Habari zenu wakuu, Mie nina malalamiko dhidi ya huduma za halotel hasa hasa kwenye Internet.

Hii leo ni mara ya tatu nikijiunga kifurushi cha usiku kile cha 1500/- ambacho kwa madai yao ni kwamba kifurushi hiki hakina ukomo. Kwahiyo ni kuanzia saa sita usiku hadi saa kumi na mbili na mbili alfajiri.

Kwa uzoefu wangu, hawa watoa huduma za mwasiliano wamekuwa wakitudanganya wateja wao kwa hiyo lugha na watu tunajiunga lakini cha ajabu internet yao wanaibana na hadi mpaka file za size ya 50MB unatumia saa moja hadi mawili kulipakua.

Naombeni TCRA mtusaidie raia ambao tunatumia huduma hii ya internet kupatiwa huduma sawa sawa na Maelezo.

Nawasilisha

Happy dude
 
weka mkono wako wa kulia kifuani halafu sema kwa nguvu "mimi ni mjinga, sistahili kua binadamu, nastahili kua panya maana akili yangu ni sawa na panya"
 
Habari zenu wakuu,

Mie nina malalamiko dhidi ya huduma za Halotel hasa hasa kwenye Internet.

Hii leo ni mara ya tatu nikijiunga kifurushi cha usiku kile cha 1500/- ambacho kwa madai yao ni kwamba kifurushi hiki hakina ukomo. Kwahiyo ni kuanzia saa sita usiku hadi saa kumi na mbili na mbili alfajiri.

Kwa uzoefu wangu, hawa watoa huduma za mwasiliano wamekuwa wakitudanganya wateja wao kwa hiyo lugha na watu tunajiunga lakini cha ajabu internet yao wanaibana na hadi mpaka file za size ya 50MB unatumia saa moja hadi mawili kulipakua.

Naombeni TCRA mtusaidie raia ambao tunatumia huduma hii ya internet kupatiwa huduma sawa sawa na maelezo.

Nawasilisha

Happy dude
Kwa wenzetu wa dunia ya kwanza ushindani wa biashara kati ya kampuni za simu ungekuwa katika kuboresha huduma zao lakini hapa wanashindana kwa kumwibia mteja!
TCRA kazi yao ni kusimamia dhuluma na udukuzi wa raia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watumie malalamiko yako formally malalamiko@tcra.go.tz
Habari zenu wakuu,

Mie nina malalamiko dhidi ya huduma za Halotel hasa hasa kwenye Internet.

Hii leo ni mara ya tatu nikijiunga kifurushi cha usiku kile cha 1500/- ambacho kwa madai yao ni kwamba kifurushi hiki hakina ukomo. Kwahiyo ni kuanzia saa sita usiku hadi saa kumi na mbili na mbili alfajiri.

Kwa uzoefu wangu, hawa watoa huduma za mwasiliano wamekuwa wakitudanganya wateja wao kwa hiyo lugha na watu tunajiunga lakini cha ajabu internet yao wanaibana na hadi mpaka file za size ya 50MB unatumia saa moja hadi mawili kulipakua.

Naombeni TCRA mtusaidie raia ambao tunatumia huduma hii ya internet kupatiwa huduma sawa sawa na maelezo.

Nawasilisha

Happy dude

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom