Master jay
Senior Member
- May 28, 2012
- 194
- 29
hiyo namba ilinibeep kwa mara ya kwanza tar 8/08/2012, usiku nikahis ni namba ya nje. Kesho yake nikaweka vocha, kupiga nikasikia maelekezo ya kiswahili nkakata hapo sababu muda huo huo sim ilikuwa imepiga alam ya kuisha ela. Nilikuwa nimeweka buku na hazikuisha sekunde 4. Jana tena saa mbili usiku imenibeep tena. Nikaipotezea. Wana jf epukanane na hiyo namba ni HATARI. Nina tabia ya mtu akinitumia ela kwa simu huwa naziacha tu mpaka ziwe nyingi ndo nitoe, ila nimezitoa zote kabla hawa wezi wa mtandaoni hawajaruka nazo. +881842011294 wizi mtupu.