TCRA na usanii kwa wenye ving'amuzi

TCRA na usanii kwa wenye ving'amuzi

celinawetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2016
Posts
1,330
Reaction score
1,059
Ni siku na sasa wiki kadhaa tangu TCRA kutoa masharti kwa wenye ving,amuzi kuwa lazima waonyeshe local TV bure,ila imekuwa tofauti azam hawapendi na wamepuuza utaratibu huo.

Naomba TCRA wachukue hatua stahiki mara moja kwa Azam ambao wamepuuza agizo la Serikali.
 
Ni siku na sasa wiki kadhaa tangu tcra kutoa masharti kwa wenye ving,amuzi kuwa laxima waonyeshe local TV bure,ila imekuwa tofauti azam hawapendi na wamepuuza utaratibu huo.

Naomba TCRA wachukue hatua stahiki mara moja kwa Azam ambao wamepuuza agizo la Serikali.

Mkuu jana nimewapigia simu Startimes na kuwaambia inakuwaje serekali inasema tofauti na wao wanafanya tofauti. Basi huyo jamaa wa customer care akaniambia niende ofisi yao iliyo karibu na king'amuzi chao kuna mambo ya kiufundi nitaambiwa ofisini. Leo nikaenda mchana na king'amuzi changu ofisi kwao. Maelezo waliyonipa ni kwamba nitoe shilingi 12,000 ninunue smart card nyingine ndio niweze kuona hizo local channels bure. Huko kwa Azam sijui utakutana na utaratibu gani lakini hiyo ndio hali halisi. Kibaya zaidi jana nimeandika e-mail kwa tcra lakini hawajanijibu mpaka leo. Email yao ni dg@tcra.go.tz

Cc: Johnthebaptist
 
Azam hawako kwenye ving'amuzi vinavyotakiwa kutoa hiyo huduma, vinavyotakiwa kufanya hivyo ni star time, ting, continental na hiki cha Mengi.
 
hv TCRA hawapo humu Jf,, sijui hao wenye ving'uzi wamewapa nn hato tcra asee
 
Mkuu jana nimewapigia simu Startimes na kuwaambia inakuwaje serekali inasema tofauti na wao wanafanya tofauti. Basi huyo jamaa wa customer care akaniambia niende ofisi yao iliyo karibu na king'amuzi chao kuna mambo ya kiufundi nitaambiwa ofisini. Leo nikaenda mchana na king'amuzi changu ofisi kwao. Maelezo waliyonipa ni kwamba nitoe shilingi 12,000 ninunue smart card nyingine ndio niweze kuona hizo local channels bure. Huko kwa Azam sijui utakutana na utaratibu gani lakini hiyo ndio hali halisi. Kibaya zaidi jana nimeandika e-mail kwa tcra lakini hawajanijibu mpaka leo. Email yao ni dg@tcra.go.tz

Cc: Johnthebaptist
Nimepiga sm tcra hawapokei,
.naomba mheshimiwa jpm alishughulikie hili haraka hawa watu wanaleta dharau
 
Azam hawako kwenye ving'amuzi vinavyotakiwa kutoa hiyo huduma, vinavyotakiwa kufanya hivyo ni star time, ting, continental na hiki cha Mengi.
Ni kweli Mkuu, Azam, Zukutv & Dstv hawahusiki na hilo tangazo la tcra.
 
Azam hawako kwenye ving'amuzi vinavyotakiwa kutoa hiyo huduma, vinavyotakiwa kufanya hivyo ni star time, ting, continental na hiki cha Mengi.
Azam wana vungamuzi we uko wapi na walivitaja tcra
 
Mkuu jana nimewapigia simu Startimes na kuwaambia inakuwaje serekali inasema tofauti na wao wanafanya tofauti. Basi huyo jamaa wa customer care akaniambia niende ofisi yao iliyo karibu na king'amuzi chao kuna mambo ya kiufundi nitaambiwa ofisini. Leo nikaenda mchana na king'amuzi changu ofisi kwao. Maelezo waliyonipa ni kwamba nitoe shilingi 12,000 ninunue smart card nyingine ndio niweze kuona hizo local channels bure. Huko kwa Azam sijui utakutana na utaratibu gani lakini hiyo ndio hali halisi. Kibaya zaidi jana nimeandika e-mail kwa tcra lakini hawajanijibu mpaka leo. Email yao ni dg@tcra.go.tz

Cc: Johnthebaptist
bora umewareport pia kuna namba hao TCRA walitoa kwa shida yoyote nimezisahau huo ushaidi ni mzuri sana hao idiots wanataka kupiga hela kwa style iyo
 
Ni siku na sasa wiki kadhaa tangu TCRA kutoa masharti kwa wenye ving,amuzi kuwa lazima waonyeshe local TV bure,ila imekuwa tofauti azam hawapendi na wamepuuza utaratibu huo.

Naomba TCRA wachukue hatua stahiki mara moja kwa Azam ambao wamepuuza agizo la Serikali.
Si Azam Tu Bali hata Star times mambo niYale yale bado Chanel zile 6 hazionekani
 
bora umewareport pia kuna namba hao TCRA walitoa kwa shida yoyote nimezisahau huo ushaidi ni mzuri sana hao idiots wanataka kupiga hela kwa style iyo

No ya tcra 0784558270
 
Mkuu jana nimewapigia simu Startimes na kuwaambia inakuwaje serekali inasema tofauti na wao wanafanya tofauti. Basi huyo jamaa wa customer care akaniambia niende ofisi yao iliyo karibu na king'amuzi chao kuna mambo ya kiufundi nitaambiwa ofisini. Leo nikaenda mchana na king'amuzi changu ofisi kwao. Maelezo waliyonipa ni kwamba nitoe shilingi 12,000 ninunue smart card nyingine ndio niweze kuona hizo local channels bure. Huko kwa Azam sijui utakutana na utaratibu gani lakini hiyo ndio hali halisi. Kibaya zaidi jana nimeandika e-mail kwa tcra lakini hawajanijibu mpaka leo. Email yao ni dg@tcra.go.tz

Cc: Johnthebaptist
Yaani wamejuwa wanatakiwa kuonyesha bure sasa StarTimes Tanzania wanafanya utapeli wa kutoza tena, tozo juu ya tozo! Kwa kweli TCRA hawana meno, subiri MD akitumbuliwa utakisikia atavyolalamika! Kumbe hayasikii wala kufuatilia mambo kama haya!
 
Ndio wale waliosifiwa wanafanya kazi nzuri.... Woiii
 
Tunaomba ufafanuzi zaidi
[emoji2] [emoji2] hizo wenyewe wanaziita ni Paytv, ni za kibiashara na ni gharama zaidi. Na pia serikali inakula kodi ya asilimia zote.Tofauti na Comtinental, Digitek, Ting na StarTimes(ingawa nao wanatumia satellite pia) hao mfumo wao wa kurushia matangazo(Terestial/kutumia antenna) Nahisi serikali ina mkono wake, na huwenda wametoa unafuu kwa sharti la kuachia channel za ndani bure. Tatizo watz walivyoachiwa zile za bure, wakawa hawalipi kabisa ving'amuzi. Wakaona wasije kufa njaa. Ila Kenya hakuna huu ujinga wa kulipia local channels.
 
Back
Top Bottom