Mnwele
Senior Member
- Feb 4, 2010
- 162
- 100
Tamko ama tishio la Tume teuzi ya Mawasiliano TZ ya kuwashtak watu/kikund kinachotoa/vujisha mawasiliano ya watu/viongoz wa kijamii is absolutely a time barred and myophio thinking na haina nafas zama za digitali.Wanaweza kujifunza kazi nzuri ya Wikileaks katika kupromote good governance na kupambana na umaskin dhid ya practices na conducts mbov ya hao the so called viongoz wa kijamii before the public.