Tcra na fikra za kianalogy

Mnwele

Senior Member
Feb 4, 2010
162
100
Tamko ama tishio la Tume teuzi ya Mawasiliano TZ ya kuwashtak watu/kikund kinachotoa/vujisha mawasiliano ya watu/viongoz wa kijamii is absolutely a time barred and myophio thinking na haina nafas zama za digitali.Wanaweza kujifunza kazi nzuri ya Wikileaks katika kupromote good governance na kupambana na umaskin dhid ya practices na conducts mbov ya hao the so called viongoz wa kijamii before the public.
 
Tamko ama tishio la Tume teuzi ya Mawasiliano TZ ya kuwashtak watu/kikund kinachotoa/vujisha mawasiliano ya watu/viongoz wa kijamii is absolutely a time barred and myophio thinking na haina nafas zama za digitali.Wanaweza kujifunza kazi nzuri ya Wikileaks katika kupromote good governance na kupambana na umaskin dhid ya practices na conducts mbov ya hao the so called viongoz wa kijamii before the public.
kuna kitu kinaitwa the right to privacy. Hii ikikiukwa kampuni za sumu, benki au serikali zinaweza kushitakiwa kwa kutoa taarifa za binafsi za watu.
 
Tamko ama tishio la Tume teuzi ya Mawasiliano TZ ya kuwashtak watu/kikund kinachotoa/vujisha mawasiliano ya watu/viongoz wa kijamii is absolutely a time barred and myophio thinking na haina nafas zama za digitali.Wanaweza kujifunza kazi nzuri ya Wikileaks katika kupromote good governance na kupambana na umaskin dhid ya practices na conducts mbov ya hao the so called viongoz wa kijamii before the public.

this topic has no relevance to political forum category .... please get rid of confusion in a well organized web portal called Jamii Forums ...... organize you mind set and IQ position..... then shift to responsible forum category
 
this topic has no relevance to political forum category .... please get rid of confusion in a well organized web portal called Jamii Forums ...... organize you mind set and IQ position..... then shift to responsible forum category

Sio mahala pake? make a demonstration!...au imekugusa na wewe, au pengine basi tu hauna la kuchangia
 
Back
Top Bottom