Keynez
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 2,408
- 3,891
Vitu hivi nimeachana navyo nina kama miaka 5:
1. Kukwangua vocha.
2. Kuweka salio la kawaida.
3. Sina app yoyote ya kampuni za mawasiliano.
App niliyonayo ni crdb bank. Hii ndio kila kitu kwangu kwani ndio nafanyia utilities bills zooote:
1. LUKU
2. DAWASCO
3. DSTV/AZAM TV/STARTIMES
4. Vifurushi vya mitandao ya simu.
Dunia imeshakuwa ya kidigitali hii, usipoenda na uelekeo wa upepo utapeperushwa.
Unforgetable
Dah, wewe ni mimi kabisa. Mimi sijawahi hata siku moja kununua vocha. Na malipo yangu yote nafanyia kidigitali.
Tofauti yangu na yako ni moja tu, siridhishwi kabisa na huduma za CRDB.