TCRA, mmeshakuwa irrelevant

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,302
24,143
Katika dunia hii ya teknolojia, alternatives to communication zinajitokeza kila uchao. Kwa sababu za kisiasa tu TCRA imeamua kuminya upatikanaji na upashanaji wa habari kwa waTanzania. Hili ni kosa la kimsingi, kwa sababu yoyote ile.

Teknolojia hailali, watu wamekwisha anza kutumia njia mbadala kuwasiliana. TCRA imezifunga njia za upashanaji inazozifahau, lakini si zile njia mbadala.

Mbaya zaidi hata ufanyaji kazi wa kibiashara kama e-banking, e-TRA na hata e-government kwa kiasi fulani imeathirika. TCRA mwisho wa siku itakuwa irrelevant maana litakuwepo lakini si kwa ajili ya huduma kwa wananchi.
 
Hilo ni litaasisi la ccm ambalo halipo kwa ajili ya kuwasaidia watanzania isipokuwa kwa ajili ya kuwadhibiti.

Ni litaasisi la UDHIBITI na sio kwa ajili ya HUDUMA.

Wamejitungia masheria mengi ajabu ya kifashisti ili kuwaminya watu wasifurukute.

Wakaona kuwadhibiti watanzania haitoshi wakaamua kuzima kabisa mtandao ili wote tuwe gizani.

Hivi huwa wanaogopa nini haswa kinachowatisha kiasi hicho? are they having hallucinations or they are just sick of some crazy disease?
 
Kwa kweli wenzetu wameendelea Jana niliona mchakato WA kutangaza Kura kwenye Jimbo lililompa Biden Point 16 washabiki wako nje ya jengo la kutangazia wametenganishwa WA Trump huku wanafoka kinyama, WA Biden huku wanashangilia katikati polisi na waandishi. Kila MTU ana Uhuru WA kufanya apendacho na Askari Yupo anawalinda wasiparurane. Huku kwetu majanga Kwa kweli Sisi ni shit... Country.
 
Back
Top Bottom