TCRA mmeridhika na wizi wa vifurushi unaofanywa na Vodacom? Kifurushi Cha 1.2GB kinaisha less than 24hrs for normal chatting?

Hahahah ni swala la muda tu! Vitaanza vichapo vya kibabe mpaka mtapoteana! Tigo ndio zao wakikimbiwa 😅😅😅
TTCL ipo mkuu yaani saizi nimelazimika kusajili line mitandao yote,kumiliki simu zaidi ya moja Ili kujihami ilimradi Bongo na Jf sihami haaaaa
 
Zantel wapo vizuri. Kwa uzoefu wangu zantel are clean. Vodacom wazee wa predatory business practice-hawkish ile mbaya. Worse vodavom seems to be beyond redemption.
Sasa nao si wa capitalise hii fursa? Hawana watu wa masoko kufanya ujasusi wa soko Ili watumie fursa?
 
Makampuni ya simu Uhuru na mamlaka mnazojitwalia za kuwaibia wananchi kwa kutukomoa au kurejesha fedha za hasara mlizopata kipindi Cha nyuma si sahihi.

Nimejiunga kifurushi cha wiki 1.2GB cha Vodacom jana saa sita kasoro usiku. Then nikazima data hadi saa nne asubuhi. Nimewasha data since saa nikawa naperuzi mitandao ya kijamii pamoja ikiwemo kutumia WhatsApp. Ilipofika saa tano usiku nikapata ujumbe kwamba nimebakiwa na MB300+, baada tu yakupokea ujumbe huo nikapokea ujumbe mwingine kifurushi chako kimekwisha. Naomba Vodacom watusaidie watumiaji wao wa internet.

1. Ni katika mazingira gani data 1GB zinaweza kuisha bila hata kudown file mtandaoni?

2. Ni kipi kimebadilika kabla ya utawala wa awamu iliyopita na utawala huu? Before ilikuwa ukijiunga kifushi Cha GB 1 unamaliza wiki nzima Kama huduma inavyojieleza. Leo kifurushi Cha wiki kinaisha less than a day

3. Nimeshtushwa na MB 300 kuisha ndani ya ten minutes, je alert sms mnazotuma zinafika kwa wakati kwa wateja au zinadelay? Unapomtumia mteja sms ya alert ya 300Mb zimebaki wakati huohuo inaingia sms zimeisha mnamaanisha Nini?

4. Baada ya kifurushi kuisha nilipiga simu kwa huduma kwa mteja, majibu yao ni kwamba, wanathibitisha kwamba sms ya mb300 na Sms kuisha kwa kifurushi zimetumwa kwa mda wa less than 15 mnts. Unawauliza sababu wanakwambia Kuna mafaili makubwa unadownload , seriously kwamba mteja awezi kujua amedownload kitu gani? Na kwa speed gani hiyo ya kutumia 300MB per 10Mnts?

Lakini hii siyo mara ya Kwanza, kila ukijiunga GB let say 2+ za ths 5000 unashtuka less than 3dys zimeisha. Mnapotukomoa sisi kwa kujua mamlaka zimewakalia kimya mnadhani tukifilisika vifurushi watanunua wakina Nani?

Waziri mwenye dhamana malalamiko haya ya Dakika na vifurushi yamekuwa mengi mitandaoni lakini hakuna hatua unayochukua wala kutoa anagalau ufafanuzi au kufanya utafiti na kutoa majibu endapo unaamini walalamikaji wanakosea, umekaa kimya kisa wewe na Watendaji wakubwa serikalini vocha na vifurushi mnanunuliwa na serikali.

Jaribuni kuvaa viatu vya wananchi wanaowalipa mishahara. Bila mawasiliano wengine hatuwezi kuingiza kipato, kuendelea kutudhibiti tusitumie mawasiliano kupata vipato vyetu nikudidimiza uchumi wa nchi.

Vodacom pesa mnazochukua za dhulma ipo siku ataingia mweu atawafilisi. Mmetufanya sisi Kama ndondocha ipo siku na ninyi pamoja na ukubwa wenu kama kampuni mtapoteza wateja. Wizi siyo kitu kizuri hasa mnapotuibia wanyonge wa nchi hii.

Nina hasira basi tu
Mimi juzi wamemeza MBs 512 in less than 3 hrs. Sikuingia YouTube, wala siku download kitu chochote kile.

Yaan Voda ni wezi.
 
Makampuni ya simu Uhuru na mamlaka mnazojitwalia za kuwaibia wananchi kwa kutukomoa au kurejesha fedha za hasara mlizopata kipindi Cha nyuma si sahihi.

Nimejiunga kifurushi cha wiki 1.2GB cha Vodacom jana saa sita kasoro usiku. Then nikazima data hadi saa nne asubuhi. Nimewasha data since saa nikawa naperuzi mitandao ya kijamii pamoja ikiwemo kutumia WhatsApp. Ilipofika saa tano usiku nikapata ujumbe kwamba nimebakiwa na MB300+, baada tu yakupokea ujumbe huo nikapokea ujumbe mwingine kifurushi chako kimekwisha. Naomba Vodacom watusaidie watumiaji wao wa internet.

1. Ni katika mazingira gani data 1GB zinaweza kuisha bila hata kudown file mtandaoni?

2. Ni kipi kimebadilika kabla ya utawala wa awamu iliyopita na utawala huu? Before ilikuwa ukijiunga kifushi Cha GB 1 unamaliza wiki nzima Kama huduma inavyojieleza. Leo kifurushi Cha wiki kinaisha less than a day

3. Nimeshtushwa na MB 300 kuisha ndani ya ten minutes, je alert sms mnazotuma zinafika kwa wakati kwa wateja au zinadelay? Unapomtumia mteja sms ya alert ya 300Mb zimebaki wakati huohuo inaingia sms zimeisha mnamaanisha Nini?

4. Baada ya kifurushi kuisha nilipiga simu kwa huduma kwa mteja, majibu yao ni kwamba, wanathibitisha kwamba sms ya mb300 na Sms kuisha kwa kifurushi zimetumwa kwa mda wa less than 15 mnts. Unawauliza sababu wanakwambia Kuna mafaili makubwa unadownload , seriously kwamba mteja awezi kujua amedownload kitu gani? Na kwa speed gani hiyo ya kutumia 300MB per 10Mnts?

Lakini hii siyo mara ya Kwanza, kila ukijiunga GB let say 2+ za ths 5000 unashtuka less than 3dys zimeisha. Mnapotukomoa sisi kwa kujua mamlaka zimewakalia kimya mnadhani tukifilisika vifurushi watanunua wakina Nani?

Waziri mwenye dhamana malalamiko haya ya Dakika na vifurushi yamekuwa mengi mitandaoni lakini hakuna hatua unayochukua wala kutoa anagalau ufafanuzi au kufanya utafiti na kutoa majibu endapo unaamini walalamikaji wanakosea, umekaa kimya kisa wewe na Watendaji wakubwa serikalini vocha na vifurushi mnanunuliwa na serikali.

Jaribuni kuvaa viatu vya wananchi wanaowalipa mishahara. Bila mawasiliano wengine hatuwezi kuingiza kipato, kuendelea kutudhibiti tusitumie mawasiliano kupata vipato vyetu nikudidimiza uchumi wa nchi.

Vodacom pesa mnazochukua za dhulma ipo siku ataingia mweu atawafilisi. Mmetufanya sisi Kama ndondocha ipo siku na ninyi pamoja na ukubwa wenu kama kampuni mtapoteza wateja. Wizi siyo kitu kizuri hasa mnapotuibia wanyonge wa nchi hii.

Nina hasira basi tu
Jumamos iliyopita nimenunua kifurushi cha data cha 2,500 kufungua tu email kusoma natumiwa ujumbe kifurushi kimeisha. Hawa jamaa ni wizi wa mchana kweupe kabisa hawafai hata kidogo.
 
Mimi nimeishaga hama huko siku nyingi sana. Hakuna siku waliniudhi kama siku niliweka kifurushi cha GB 1 saa 4.30 usiku, nikawa nachat WhatsApp.. kufika saa 5 nikazima simu nikaweka kwenye chaji. Nimekuja kuwasha saa moja kamili, baada ya robo saa wananiambia MB zako zimeisha. Nikawahama hapohapo!!
 
Mimi nimeishaga hama huko siku nyingi sana. Hakuna siku waliniudhi kama siku niliweka kifurushi cha GB 1 saa 4.30 usiku, nikawa nachat WhatsApp.. kufika saa 5 nikazima simu nikaweka kwenye chaji. Nimekuja kuwasha saa moja kamili, baada ya robo saa wananiambia MB zako zimeisha. Nikawahama hapohapo!!
Hili li mtandao majizi sana
 
Halotel bando linaisha kihalali kabisa..hao voda wezi Sana yaani mbs unaperuzi kidogo tu wanakutumia meseji umemaliza kifurushi chako
Hawa Sasa hivi laini yao nafanyia miamala tu
 
Back
Top Bottom