MUUZA NGADA
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 340
- 497
- Thread starter
- #21
Hata mimi natumia VodaJamaa wanakera sana hao yaani kutwa nzima SMS ni zao tu ndo zinapishana kwenye simu tena kama namba za voda ndo wamezidi bora hata na airtel kidogo.
Hata mimi natumia VodaJamaa wanakera sana hao yaani kutwa nzima SMS ni zao tu ndo zinapishana kwenye simu tena kama namba za voda ndo wamezidi bora hata na airtel kidogo.
AbsolutelyHao moja bet wananikera hakuna mfano.......... Hadi Saa saba usiku wanakutumia huo ujinga wao, ukiamkaa tu asubuhi unakutana na upuuzi wao tena.
Bora wangekuwa wakikutumia hizo SMS wanaweka na namna ya kujitoa ili usiwe unatumiwa huu UJINGA.
TCRA waamke sasa tumechoshwa na huu upuuzi.

Blazaeee chi ungeacha kwancha wamaliche ile moja ya kuonyecha TV za ndani bulee!? chacha unawaogechea lingine wakati ile amli yao ya tv cha ndani halijatekelechwa?
Nimecheka SanaHakuna mwanasheria hapa atutengezee shitaka tuburuzane kisutu! Tatzo wanasheria wetu ni tofaut na nchi zilizoendelea vitu sensitive hata huwaoniJibu la swali lako ni baadhi ya wafanya kazi wa makampuni ya mitandao. Huu mtindo uko karibu dunia nzima na sio tatizo la Tanzania tu.
Baadhi ya wafanya kazi wa makampuni hayo ya mitandao wana access kwenye data za wateja kwa hiyo wao ndiyo wana wanawauzia hizo data hao wachezeshaji wa kamali. Makampuni ya mitandao haiwezi kufanya upuuzi kama huo wa kuuza data za customers wao na kuingiza kampuni kwenye risk.
Usihangaike sana nasikia kuna njia ya ku-block wahujumu hao. Uliza kwa wataalam wa IT watakusaidia.