the supporter
JF-Expert Member
- Aug 18, 2013
- 834
- 1,102
Yani hizo sms zao zina kera mimi na pata sio chini ya sms 8 kila siku nimejaribu kuziblock ila sija fanikiwa. TCRA tunaomba mwangalie hili swala halija kaa vizuri sana
Sisi ndo tunaiweka madarakani, iweje tukose wajibu wakuikosoa? Kwani katiba inatuzuia kuikosoa inapokengeuka? Wanashera wa nchi hii chomeni vyeti vyenu kwani havina tija. Watu wanaingizwa madarakani na wananchi lkn hawana ubavu wa kukosoa!!Kwao hili sio kosa, kosa ni kuikosoa serikali tu, vinginevyo mtu anaweza kufanya anachotaka kwa namba yako
Tuelekeze jinsi ya ku block hizo msg zinakera sanaMi nimeziblock hizo sms zotee,sms yoyote ikiingia inayohusu mambo ya kubet nablock hapohapo
Kaka unaonaje tufungue kesi mahakamani...
AbsolutelyMkuu MUUZA NGADA fahamu kwamba hayo makampuni ya simu yanafanya biashara ya kutangaza matangazo ya hayo makampuni ya kamali. Hiyo ni biashara ya matangazo na hizo sms zimeshalipiwa tayari ndiyo maana VODACOM au kampuni yoyote ile ya simu hawawezi kuzizuia. Hii biashara inawaingizia pesa mingi sana ndiyo maana wewe ulipoenda kuwauliza wamekuzungusha tu, lakini wanajua ukweli wote kuwa wao ndiyo waliotoa hizo namba za wateja kwa makubaliano maalumu ya kulipwa.
Kiutaratibu ninavyo fahamu mimi namba ya simu unayoimiliki siyo mali yako, bali ni mali ya SERVICE PROVIDER uliyejiunga naye kama ni VODACOM, AIRTELL, HALLOTELL n.k. hawa ndiyo wamiliki halali wa hizo namba za simu. Literally tunaweza kusema namba za simu ni mali yetu, but technically zinamilikiwa na makampuni ya simu.

Kwa sheria ya TCRA iliyofanyiwa marekebisha miaka miwili iliyopita ni kweli unayo haki ya kuwashitaki wote wawili yaani; mtandao wa simu na kampuni ya waendesha kamali wenyewe.
Tatizo, lipo hapa
Kwanza, Je, una uhakika hakuna mtu ulimpatia simu yako akacheka kamali kwa namba yako!?
Pili, Wamiliki wa kampuni nyingi za simu ni vigogo , je uko tayari kulipwa let's say 10/=M au zaidi halafu tukuokote coco beach kwenye kiroba ukiwa tayari umeoza!?
Japo, matangazo yanaudhi sana.
Tusisahau hili ;
We need an immediate justice for our daughter Akwilina B.
Management ya NEC na DED wa Kinondoni watumbuliwe, wakamatwe na wafungwe kwa kusababisha kifo cha Binti Akwilina B.
CCM must go...
Kagame must be stopped visiting Tanzania
R.I.P, Binti yetu , Akwilina B
Ndoto zako zote zimezimwa ghafula kama vile mshumaa uzimwavyo.
Daima tutakukumbuka Binti, Kristo Yesu akuangazie mwangaza wake wa milele. Amina.

Nimecheka SanaNdugu yangu;Namba ya simu ya mtu kupatikana sio lazima kutoka vodacom.Inawezekana namba yako imepatikana kwa bahati tu kama ilivyo kamari ni bahati.

i) Haya Makampuni Yanapewa na Nani Namba Yangu mpaka Wakaweza Kumudu Kunitumia Ujumbe??
Ok, Kwahyo Wanaweza Kutoa Kwa Mtu Yeyote Muda Wowote?Aliyekuambia namba ya simu unayotumia ni ya kwako ni nani? Someni kwanza zile karatasi za makubaliano utajua unachomiliki wewe ni handset yako tu. Wenye namba ni mtandao.
Mimi pia napata, nadhani Zuzu ni wewe uliyekurupuka kutetea upuuzi mnaotufanyia, Mimi nicheze hiyo mitakataka kwa Kipi? Japo sina uwezo kipesa lakini kutupa pesa yangu kipuuzi hivyoHiwezi pata sms Kama hujawai cheza wewe ni zuzu
nimetoka kwetu kutafuta pesa sio kutupa pesa, Meseji zimekuwa usumbufu wewe unatetea tena kwa lugha chafu! Unawaambia ONDOA majibu ni kama hapo juu sasa kama sijajiunga wananitumia ya nini?