...... So imagine kila mteja alituma meseji zaidi ya 10,kwa scenario iyo Vodacom walitengeneza Tsh. 18,000,000,000! Then kwa muda wa takribani miezi 6 ya shindano lile,hata sitaki kujua ni kiasi gani Vodacom walipata.
!
the thinking is correct ila kwamba kila mtu alituma msg si sahihi i mean average msg per person kwamba ni 10 nafikiri umeenda mabli sana