Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,804
- 8,797
Hili jambo linawakuta na wenzangu ama ni mimi tu yaani ni tabu sana kuongea na huduma kwa mteja ukipiga 100 ni kuongea na mashine tu. TCRA ebu rusheni rungu hapo. Bora hata 0713.
Me yamenikuta juzi, na laini yao nimetupilia mbaliHili jambo linawakuta na wenzangu ama ni mimi tu yaani ni tabu sana kuongea na huduma kwa mteja ukipiga 100 ni kuongea na mashine tu. TCRA ebu rusheni rungu hapo. Bora hata 0713.
Hii kampuni inaenda kufaHili jambo linawakuta na wenzangu ama ni mimi tu yaani ni tabu sana kuongea na huduma kwa mteja ukipiga 100 ni kuongea na mashine tu. TCRA ebu rusheni rungu hapo. Bora hata 0713.
Yaani hii ni kero kubwa sana; kuna wakati unazungushwa kwenye robot lao kwa dk 20 bila kupata access kuwa upige namba ipi ili umpate muhudumu. Kuna wakati ilibidi nifunge safari hadi dukani kwa wakala wao Mlimani city wakati tatizo lingetatuliwa kirahisi na bila gharama kama access ya kuongea na operator ingepatikana.Hili jambo linawakuta na wenzangu ama ni mimi tu yaani ni tabu sana kuongea na huduma kwa mteja ukipiga 100 ni kuongea na mashine tu. TCRA ebu rusheni rungu hapo. Bora hata 0713.