Kuna viblog vimefunguliwa vimekuwa vinaandika habari za kupotosha na kuweka picha zisizo na staha naiomba serikali kupitia TCRA ifungie blog hizo maana nyingi ni ngono na habari za kupotosha.
cc TCRA
Wananikera sana tena wanazitangaza Facebook utasikia nimebinjuka na mama yangu sasa kanogewa nishaurini,mara Nauza bikra elfu 50 najaribu kublock nisipate habari zao lakini nimeshindwa
Wananikera sana tena wanazitangaza Facebook utasikia nimebinjuka na mama yangu sasa kanogewa nishaurini,mara Nauza bikra elfu 50 najaribu kublock nisipate habari zao lakini nimeshindwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.