Nchi Kavu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 4,271
- 2,401
Ni kutoka radio frequency 90.0 cha saa tisa alasiri Jumamosi.
Ni vitoto vidogo lakini vinajadili masuala ya mahaba, muda usio sawa. Mbaya zaidi ni vitoto ambavyo havina uhalali wa kuwa katika mahusiano kwa umri wao, weka pembeni kuyaweka wazi, mbaya zaidi kwenye radio.
Angalieni hili. Pengine wana mada zingine nzuri ila kwa masuala ya mapenzi hawana vigezo na sababu ya kuzungumzia.
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni vitoto vidogo lakini vinajadili masuala ya mahaba, muda usio sawa. Mbaya zaidi ni vitoto ambavyo havina uhalali wa kuwa katika mahusiano kwa umri wao, weka pembeni kuyaweka wazi, mbaya zaidi kwenye radio.
Angalieni hili. Pengine wana mada zingine nzuri ila kwa masuala ya mapenzi hawana vigezo na sababu ya kuzungumzia.
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app