DMmasi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 615
- 971
Wana JamiiForum mko powa
Baada ya salamu leo turudi nyuma kidogo kwenye
Lile goma la Ferooz lakuitwa Boss
Ingekuwa ni wewe ungeamua nini katika mawili ambayo jamaa alikuwa akishauriwa
1. Uvumilie
2. Usikubali bora uwangamie
Mimi apa ningekiwasha kwenye ile verse ya kwanza mapema sana
Baada ya salamu leo turudi nyuma kidogo kwenye
Lile goma la Ferooz lakuitwa Boss
Ingekuwa ni wewe ungeamua nini katika mawili ambayo jamaa alikuwa akishauriwa
1. Uvumilie
2. Usikubali bora uwangamie
Mimi apa ningekiwasha kwenye ile verse ya kwanza mapema sana