TBT: Unakumbuka nini maeneo haya?

TBT: Unakumbuka nini maeneo haya?

Meja Jenerali Isamuhyo

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
3,129
Reaction score
9,678
Hapo pembeni karibu na jengo la Tanesco ndipo palikuwa stendi ya daladala ubungo.

Wewe unakumbuka nini maeneo hayo?
IMG_8588.jpeg
 
Hapo pembeni karibu na jengo la Tanesco ndipo palikuwa stendi ya daladala ubungo.

Wewe unakumbuka nini maeneo hayo?View attachment 3508321
Stendi ya zamani ya daladala iliyokua pembeni hapo nimeitumia sana na nilikua na rafiki anafanya kazi Tanesco jengo dogo lilikua hapo pembeni kabisa ya sehemu ya kuingilia stendi.
 
Naikumbuka stendi ya Tegeta Ubungo kwa nje huku
 
Back
Top Bottom