Enzymes
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 4,334
- 3,004
Wadau: Je afya zetu ziko salama?
Kwasa nchini Tanzania kuna makampuni mbalimbali yanayo zalisha vinywaji kama Juice, Soda, na vitafunwa kama pipi, jojo, PK, nk.
Maajabu ya Tanzania, Viwanda hivi vyote hamna hata kimoja kinacho miliki shamba la matunda wala kuhamasisha wakulima au kuwekeza ktk kilimo cha malighafi zao.
Kwa sasa radha ya Soda X ya mwaka 2000 na radha ya soda X (hiyohiyo) ya mwaka 2015 nitofauti kabisaaa!!
JK kapandisha uchumi hadi sasa tuna Juice hadi za Tshs 100!!! Maajabu kwelikweli!! Na juice hizi hutumiwa sana na watoto. Na bidhaa hizi nyingi hazina Nembo ya TBS!!
Pia kuna uingizwaji wa Juice mbalimbali wa Juice kutoka Uarabuni huku zikiwa zimeandikwa kwa kiarabu na kukosa tafsiri ya Kiingereza au Kiswahili!!
TBS, acheni kufanya kazi kwa mazoea! Jengeni maabara kila mkoa (mmekalia Dar tu utadhani Kagera, Ruvuma, Kigoma, Mara, Moshi, Mbeya si midomoni mwa bidhaa feki).
Au mnang'ang'ania kupiga madili bandarini?
Je hii ni ishara kuwa TBS mmeamua kutumaliza au?
Kwasa nchini Tanzania kuna makampuni mbalimbali yanayo zalisha vinywaji kama Juice, Soda, na vitafunwa kama pipi, jojo, PK, nk.
Maajabu ya Tanzania, Viwanda hivi vyote hamna hata kimoja kinacho miliki shamba la matunda wala kuhamasisha wakulima au kuwekeza ktk kilimo cha malighafi zao.
Kwa sasa radha ya Soda X ya mwaka 2000 na radha ya soda X (hiyohiyo) ya mwaka 2015 nitofauti kabisaaa!!
JK kapandisha uchumi hadi sasa tuna Juice hadi za Tshs 100!!! Maajabu kwelikweli!! Na juice hizi hutumiwa sana na watoto. Na bidhaa hizi nyingi hazina Nembo ya TBS!!
Pia kuna uingizwaji wa Juice mbalimbali wa Juice kutoka Uarabuni huku zikiwa zimeandikwa kwa kiarabu na kukosa tafsiri ya Kiingereza au Kiswahili!!
TBS, acheni kufanya kazi kwa mazoea! Jengeni maabara kila mkoa (mmekalia Dar tu utadhani Kagera, Ruvuma, Kigoma, Mara, Moshi, Mbeya si midomoni mwa bidhaa feki).
Au mnang'ang'ania kupiga madili bandarini?
Je hii ni ishara kuwa TBS mmeamua kutumaliza au?