TBS vipi mbona hivyo?

FAFI

Member
Jun 9, 2015
36
0
Jamani siku zinazidi kwenda na TBS wamekaa kimyaa, Hivi hakuna mwenye tetesi yoyote?? au lile tangazo la kazi ilikuwa sikukuu ya wajinga??
 
nibora ukaangalia michakato mingine hawa tbs niwasumbufu sana hawana tofauti na TRA
 
Kuitwa kwenye usaili inachukua miezi 6, baada ya hapo wanaweka watu wao name mchezo unaishia hapo
 
Back
Top Bottom