F FAFI Member Jun 9, 2015 36 0 Aug 25, 2015 #1 Jamani siku zinazidi kwenda na TBS wamekaa kimyaa, Hivi hakuna mwenye tetesi yoyote?? au lile tangazo la kazi ilikuwa sikukuu ya wajinga??
Jamani siku zinazidi kwenda na TBS wamekaa kimyaa, Hivi hakuna mwenye tetesi yoyote?? au lile tangazo la kazi ilikuwa sikukuu ya wajinga??
M mundu m Senior Member Jun 11, 2015 119 18 Aug 26, 2015 #2 nibora ukaangalia michakato mingine hawa tbs niwasumbufu sana hawana tofauti na TRA
C CHIEF JJ JF-Expert Member Dec 29, 2014 1,038 304 Aug 26, 2015 #3 mmhh.bado unawasubili tu hao fanya michakato mingine
TO2004 JF-Expert Member Jan 11, 2013 540 218 Aug 26, 2015 #4 hao jamaa unaweza shangaa ukaitwa kwenye usaili january
R real lyf 2015 Senior Member Aug 13, 2015 166 27 Aug 26, 2015 #5 Kweli bana. . Mwenye update atujuze
Ndesalee JF-Expert Member Apr 17, 2014 1,085 513 Aug 28, 2015 #6 mundu m said: nibora ukaangalia michakato mingine hawa tbs niwasumbufu sana hawana tofauti na TRA Click to expand... TRA na NSSF ni shida. Bora ucheki mishe mingine kuliko kusilikilizia kuitwa kwa usaili ktk hz taasisi..
mundu m said: nibora ukaangalia michakato mingine hawa tbs niwasumbufu sana hawana tofauti na TRA Click to expand... TRA na NSSF ni shida. Bora ucheki mishe mingine kuliko kusilikilizia kuitwa kwa usaili ktk hz taasisi..
akili akili JF-Expert Member May 5, 2014 1,707 1,051 Aug 29, 2015 #8 Kuitwa kwenye usaili inachukua miezi 6, baada ya hapo wanaweka watu wao name mchezo unaishia hapo
F FAFI Member Jun 9, 2015 36 0 Aug 29, 2015 Thread starter #9 TBS wapumbavu sana na CCM hawapiti mbwai mbwai tu