Mitomingi8s
Senior Member
- Jan 17, 2011
- 132
- 39
Haya wale waliomba tbs mambo yameiva twende tukapakue vitu majina kwa website yao
ndo unaona leo¿?
Nendeni kwenye usaili acheni uoga. wote walioitwa wana sifa,
TBS shortlist ilikua imefanyika na majina kwa ajili ya interview yalikua yatoke soon watu hawakuwa wengi kama ilivyo sasa. ila baada ya sakata la Uhamiaji kilichofanyika sasa ni kwamba walichukuliwa watu woote walioomba na kuitwa kwenye hivyo written. ambao waliachwa ni wale ambao hawajakidhi vigezo vya waziwazi, hao wakawekwa kando ndio maana mnaona idadi ni kubwa.
Taarifa ya usaili ilitoka baada ya sakata la Uhamiaji kwa wenye kumbukumbu.
sasa wame hire kampuni itakayohusika na zoezi zima la kuajiri watu katika hizo nafasi TBS imejiweka pembeni. mitihani imeshaandaliwa maandalizi ya mwisho yakiwa yanafanyika huku kila paper kugongwa muhuri wa TBS kuepusha dhahama za aina yoyote....
NB: niwatakie kila la kheri mnaoenda kwenye interview kuanzia hiyo kesho hapo Yombo.
Kijana jiamini acha kuogopa wingi wa wasailiwaWadau hii inakera kama siyo kuchosha. Kwa vile TZ kuna uhaba wa ajira basi taasisi za serikali zimeona ni vema kuendelea kuwasumbua watanzania kwa kumuita kila muombaji wa kazi kufanya usaili.
Nimeshangazwa sana na TBS, nafasi ya watu 10 mnaitwa 752' mh kunahaja ya serkali kuziwajibisha taasis hizi. Nahisi hii ni kutokana na uvivu wa kiakili hadi mtu anashindwa kufanya uwiano sahihi.
Kwa harakaharkaa nafasi 1 inawaniwa na wahitaji 75. Hatakama ni usaili wa kuandika lakini inakatisha tamaa.
Wadau hii inakera kama siyo kuchosha. Kwa vile TZ kuna uhaba wa ajira basi taasisi za serikali zimeona ni vema kuendelea kuwasumbua watanzania kwa kumuita kila muombaji wa kazi kufanya usaili.
Nimeshangazwa sana na TBS, nafasi ya watu 10 mnaitwa 752' mh kunahaja ya serkali kuziwajibisha taasis hizi. Nahisi hii ni kutokana na uvivu wa kiakili hadi mtu anashindwa kufanya uwiano sahihi.
Kwa harakaharkaa nafasi 1 inawaniwa na wahitaji 75. Hatakama ni usaili wa kuandika lakini inakatisha tamaa.
Mdada nipigie pande bac hapo TBS mana simjui hata mlinzi pale,doh!