Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,669
- 22,256
Majani ya chai ya kiwanda nilichokitaja yenye nembo ya GREEN LABEL TEA na kuthibitishwa na TBS kwa TZS 728 ubora wake unamashaka. Pamoja na mashaka hayo sijui kama kiwanda hiki ndicho kile cha Tanzania Tea Blenders Limited kwani kifungashio chake ni kile cha kiwanda cha TTBL. Wengi wetu huwa hatujui kuwa majani ya chai yasiyo na ubora ni hatari kwa afya.