Hivi jamani Simba na Yanga mpaka lini????,why not Mtibwa Sugar,Moro UTD,Villa Squad,Polisi Dom,Prisons au timu nyingine zaidi ya timu hizo mbili ambazo hazisaidii lolote ktk kukuza soka la Bongo,,,halafu mbona tayari Yanga wanaye Manji!!!!!TBL wateja wao wakubwa wako mikoani so wajitahidi kuzisaidia na timu za mikoani pia ambazo zinahitaji wadhamini kwa udi na uvumba....makampuni yajaribu kubadilika na kuziangalia timu za mikoani pia