PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,182
Kwanza hii sio siasa hivyo peleka jukwaa husika, pili acha kuyafanya maisha yawe magumu, kama haupendi music angalia TBC1 na channel zingine, utajageuka presha kuka kwa ku complicate mambo madogo madogo!
Mleta uzi anahoja nzuri kuwa lengo la Tv ni kuelimisha, kutoa taarifa,kuonya,kuasa, kuburudisha pamoja na kukuza teknolojia kwa kusambaza taarifa. Sasa kama Tv ya taifa itahusika na kuburudisha tu bila hata kuelimisha itakuwa haina maana kwani inatumia kodi ya wananchi haitoki kwa mifuko yao.
acheni umbulula kuna TBC1 kuna vipindi vingi sana vya kuelimisha. TBC2 ni burudani tu. KAZI NA DAWA. Mbona mengi ana TV 3 muombeni 1 ya kuelimisha vijana kama m takavyo yeye si mtetezi wa wanyonge hasa majobless na kutumia fursa
acheni umbulula kuna TBC1 kuna vipindi vingi sana vya kuelimisha. TBC2 ni burudani tu. KAZI NA DAWA. Mbona mengi ana TV 3 muombeni 1 ya kuelimisha vijana kama m takavyo yeye si mtetezi wa wanyonge hasa majobless na kutumia fursa
acheni umbulula kuna TBC1 kuna vipindi vingi sana vya kuelimisha. TBC2 ni burudani tu. KAZI NA DAWA. Mbona mengi ana TV 3 muombeni 1 ya kuelimisha vijana kama m takavyo yeye si mtetezi wa wanyonge hasa majobless na kutumia fursa
acheni umbulula kuna TBC1 kuna vipindi vingi sana vya kuelimisha. TBC2 ni burudani tu. KAZI NA DAWA. Mbona mengi ana TV 3 muombeni 1 ya kuelimisha vijana kama m takavyo yeye si mtetezi wa wanyonge hasa majobless na kutumia fursa
Kwanza wewe Kaka mwisho unaonyesha jinsi gani kichwan ulivyo mtupu. Tbc ni shirika la umma ingewapasa kufundisha umma juu ya maswala mbalimbali yanayotokea ndan ya taifa hili. Pia wangepaswa kuelimisha watanzania umuhimu wakua wazalendo na bdo wakaendelea kuwaburudisha watanzania. Mbona EATV ya Mengi niyaburudan kuliko hata hyo tbc lkn inavipindi vinavyoelimisha kuanzia afya elimu miundombinu utamadun siasa utalii hali halisi ya mtanzania. Hawa tbc2 wabadilie wafanye kazi kama kituo cha taifa.