Hapo inaonyesha jinsi gani ulivyo kiazi yaan dogo wa 9yrs ameona kasoro ila wewe kubwa jinga hujaona kasoro yoyote zaidi ya kuunga mkono juhudi za muheshimiwa
Sikufanikiwa kugundua sababu baada ya mechi sikuwa bize tena na TV nilikuwa nachati kwenye simu wakati huo tumebadilisha channel na kuwa TBC ndio dogo ananiambia hivyo japo hilo nilishalibaini kitambo sana maana si tatizo la leo au janaKilichonishangaza ni kwamba dogo mwenye miaka 9 ameona kasoro wakati huo jamaa mmoja na lundo lake la miaka hajaona kasoro yoyote.
Natania tu Mkuu.
Ndio watangazaji wake hua hawapendezi kabisa hasa wanaume jitu utafikiri mc wa kigodoro bwana! PtuSijaelewa unamuomba Mh. Rais atoe pesa ili kuboresha muonekano(usmart) wa watangazaji, ubora wa wa vifaa au what exactly was your point there?