TBC1 Wanatumia teknolojia gani?

TBC1 Wanatumia teknolojia gani?

Hapo inaonyesha jinsi gani ulivyo kiazi yaan dogo wa 9yrs ameona kasoro ila wewe kubwa jinga hujaona kasoro yoyote zaidi ya kuunga mkono juhudi za muheshimiwa
Kilichonishangaza ni kwamba dogo mwenye miaka 9 ameona kasoro wakati huo jamaa mmoja na lundo lake la miaka hajaona kasoro yoyote.
Natania tu Mkuu.
Sikufanikiwa kugundua sababu baada ya mechi sikuwa bize tena na TV nilikuwa nachati kwenye simu wakati huo tumebadilisha channel na kuwa TBC ndio dogo ananiambia hivyo japo hilo nilishalibaini kitambo sana maana si tatizo la leo au jana
 
Sijaelewa unamuomba Mh. Rais atoe pesa ili kuboresha muonekano(usmart) wa watangazaji, ubora wa wa vifaa au what exactly was your point there?
Ndio watangazaji wake hua hawapendezi kabisa hasa wanaume jitu utafikiri mc wa kigodoro bwana! Ptu
 
Jaman msiponde sana chombo chetu cha utangazaji cha taifa maana ndiyo icho icho tuna chojivunia nakuwanacho nichataifa chakwetu so tutoe maoni nn kifanyike na nn kiongezwe au kipi kipunguzwe
 
Back
Top Bottom