Hamia star tv ingawa nao wanaweza kutugeuka.
tbc 87.5 fmjamani kama kuna kituo chochote cha redio kinarusha madude haya ya escrow mtujuze
TBC iko poa mkuu hapa naona na mpakato wangu full charge na salioWadau Mimi natumia Dstv na tangia asubuhi TBC 1 haina Saudi
Sasa sielewi ni hujuma nisisikie Escrow au la?
TBC iko poa mkuu hapa naona na mpakato wangu full charge na salio
Wadau kuna dalili TBC hawataonyesha mjadala wa leo